Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Mie ni muislam naomba mwenyezi mungu anisamehe.... ila mtume kuoa mtoto wa miaka 9 ilikuwa ni tamaa binafsi tu.
Ningekupuuza lakini kwa kuwa umedai wewe ni Muislam najilazimisha kukuusia. Nakuusia pamoja na kujiusia Mche Allah BinSalum. Usiitupe Neema ya Uislam kwa kutaka sifa kidogo tu kutoka kwa watu wa Jf.

Niishie hapo.
 
Washirikina nyie SAWA na wale waruka na ungo mna miungu kibao bado masanamu 🤣🤣🤣
Kwenye biblia kitabu usichotumia ww. Mambo yako we oa cha miaka 9 ndo maana hukutaka visome ili uwe unavioa tu
 
Hapo kwenye EDUCATION hapaeleweki kabisaa.! Yaani inaonesha kila shule kasoma mwaka mmoja mmoja.
 
Washirikina nyie SAWA na wale waruka na ungo mna miungu kibao bado masanamu 🤣🤣🤣
Kweli huwa tunamponda mawe shetwaini huko macca. Nani alikuambia shetani yuko sehem flani tu? Mwezi mtukufu uliuona wapi wakati mwezi ni ule ule 😂😂😂
 
Ulisikia wapi na Ile ni sehemu ya kihistoria mbona nyie mnaweka masanamu ya yesu kanisani kwa hyo mungu yupp kanisani tu na mnarnda kuyaomba🤣🤣
Kweli huwa tunamponda mawe shetwaini huko macca. Nani alikuambia shetani yuko sehem flani tu? Mwezi mtukufu uliuona wapi wakati mwezi ni ule ule 😂😂😂
 
Ulisikia wapi na Ile ni sehemu ya kihistoria mbona nyie mnaweka masanamu ya yesu kanisani kwa hyo mungu yupp kanisani tu na mnarnda kuyaomba🤣🤣
Tunaonesha jinsi alivyoteswa, na hatuiti yesu bali ni michoro ya kuonesha alivyoteswa msalabani. NB: Dunia ina mwezi mmoja tu hivyo hatuna mwezi uliotuka na muovu. 😂
 
Tunaonesha jinsi alivyoteswa, na hatuiti yesu bali ni michoro ya kuonesha alivyoteswa msalabani. NB: Dunia ina mwezi mmoja tu hivyo hatuna mwezi uliotuka na muovu. 😂
Kwao yule ndo yesu yaani mungu kateswa na binadamu wak yaani nyie akili hamna ya kufikiria🤣🤣🤣
 
Kwaresma vip yesu hakufunga au mnamfuata paulo
Tunaonesha jinsi alivyoteswa, na hatuiti yesu bali ni michoro ya kuonesha alivyoteswa msalabani. NB: Dunia ina mwezi mmoja tu hivyo hatuna mwezi uliotuka na muovu. 😂
 
Mtoto wa miaka 9 hawezi kuolewa! Sema alichukuliwa kwa nguvu!! Huo umri hautoshi kufanya maamuzi halali ya kuingia kwenye unyumba! Anayebisha aweke wazi hapa halafu aruhusu Binti yake aolewe akiwa na miaka 9!
Sasa aliyefanya hivyo si ni Mtume wa ALLAH (S.A.W)
 
miili ya watu wa zamani si sawa na Sasa hivi.
Mtoto wa miaka 9 kipindi hicho alikuwa msichana mkubwa.
Ndo maana kuna majitu yalikuwa yanaishi mpaka miaka 1,000.
Yaani mtoto mdogo ni miaka 1,00
kwa hyo usifanananishe miaka 9 ya Sasa hivi na miaka 9 ya kipindi Cha miaka ya Muhammad.
Imepita miaka 1400+ tangu mtume aishi duniani.
Sasa si alikuwa hajakomaa viungo vya uzazi? Au alipomuoa alimuacha kwanza mpaka alipokomaa ndio akamfanya?

Miaka 9 huoni ni Ubakaji?
 
Sasa nyie wafuasi wa paulo si mko vikundi vingi kama band unayajua makanisa yote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unakuja vibaya na chuki zako binti. Uislam una madhehebu zaidi ya 100 kwasasa na mbaya zaidi wana bifu wenyewe kwa wenyewe ndio maana hata management ya kuwaletea na kujadili maendeleo yao hawana

Migogoro yao ni dhahiri kila mahala hata hapa nchini. Wanapishana hata siku ya kusheherekea sherehe za IDD, Wakati huo wakristo wana madhehebu mengi yenye maendeleo na huwasikii wakigombana

Mada haikuwa ya kidini ila ninyi mnaanzisha udini, tutafika mbali
 
Sasa si alikuwa hajakomaa viungo vya uzazi? Au alipomuoa alimuacha kwanza mpaka alipokomaa ndio akamfanya?

Miaka 9 huoni ni Ubakaji?
alimuoa kisha akawa kwao mpaka alipopevuka ndio akamchukua na huu utaratibu unafanyika mpaka leo unaweza kuozeshwa kisha akaishi kwao mpaka utakapofika wakati anafaa kuingia kwenye mahusiano ndio unakabidhiwa.

na ni jambo la kawaida kwa waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…