Hapana samia tumepigwa.Dictator Robert Gabriel Mugabe alikua na zaidi ya 7degree za kusomea, angalia alichokifanya ndani ya nchi yake, Zimbabwe [emoji1269] imeoza na imetapakaza economic illegal immigrants sadc nzima, President Rawling wa Ghana alikua na elimu ya kawaida na akaiwekea msingi mzuri nchi yake, Leo Ghana ni shining example ndani ya Afrika, President Madiba pia bila hekima zake SA ilikua inaingia in civil war hasa baada ya kuuliwa Chris Hani, President Samia so far so good, slowly but sure nchi inaanza kurudisha heshima yake,kisiasa na kuichumi welldone
Churchill kweli alikuwa elite family na alipita jeshi. Kwanza alikuwa critic wa sera za Waziri Mkuu Sir Neville Chamberlain kuhusu Ujerumani. Neville alipoachia ngazi akampendekeza Churchill ambaye alikuwa hardliner wa vita hivyo ni mtu sahihi kwa muda sahihi na pia ni kutoka elite family yenye rekodi wabunge hawatatumia muda mwingi kumpingaUongo!
Churchill alitoka familia kubwa na elite, hivyo hawezi kuwa karani kama jinsi unavyofikiria karani!
Kuna wadau walisema kwamba hivi ni vyeo vya hisani (vya kurithi).CV ya Samia ni: 2021
CV ya Samia ni hii: 1) 2021 -....... Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2) 2021 -...... Jemadari mkuu wa majeshi yote Tanzania
Basi weka CV yake.Nani kakuambia elimu yake ina utata? Utata utakuwa nao wewe mwenyewe kwenye kichwa chako
Mandela alikua MwanasheriaDictator Robert Gabriel Mugabe alikua na zaidi ya 7degree za kusomea, angalia alichokifanya ndani ya nchi yake, Zimbabwe 🇿🇼 imeoza na imetapakaza economic illegal immigrants sadc nzima, President Rawling wa Ghana alikua na elimu ya kawaida na akaiwekea msingi mzuri nchi yake, Leo Ghana ni shining example ndani ya Afrika, President Madiba pia bila hekima zake SA ilikua inaingia in civil war hasa baada ya kuuliwa Chris Hani, President Samia so far so good, slowly but sure nchi inaanza kurudisha heshima yake,kisiasa na kuichumi welldone
Hizo ni Titles za urithi.hiyo haimuondolei yeye kuwa ndio Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu
Kheeee!Namshukuru kaniepusha kuolewa na Mwanaume mwenye gubu kama wewe!
Kama utata upo kichwani mwake nadahani ndio maana anaomba uweke cv mkuu.Nani kakuambia elimu yake ina utata? Utata utakuwa nao wewe mwenyewe kwenye kichwa chako
Primary school jang'ombeNilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Magufuli PhD.Elimu ya hapa na pale unamaanisha nini?
Magufuli ana
1. Diploma ya Ualimu( Chemistry &Mathematics)
2. Degree ya Ualimu/UDSM (Chemistry)
3. Masters/ Uzamili (Chemistry)
4. PH D(Chemistry).
Research: Arcardic Acid in rusting prevention
Umesema kweli tupu! Mapumbavu yanamsingizia Mungu kila kitu! Maccm haya!!!Hapandipo nachoka. Mnamsingizia Mungu mambo ya ajabu kabisa. Mungu ndiye anayepanga watu waibe kura ili wawe marais?
Hahaha.Primary school jang'ombe
Secondary school wete pemba
Etc[emoji16][emoji16]
Acha ufala, search ipo wazi kabisa. Kama huna cha kupost nyonyesha watoto home hapo.Wazi wapi?
Nipatie.
Shida ya wabongo ndo hii sasa, wewe umeombwa CV ya SAMIA badala ya kuileta umeanza kuleta porojo za Mugabe.Dictator Robert Gabriel Mugabe alikua na zaidi ya 7degree za kusomea, angalia alichokifanya ndani ya nchi yake, Zimbabwe 🇿🇼 imeoza na imetapakaza economic illegal immigrants sadc nzima, President Rawling wa Ghana alikua na elimu ya kawaida na akaiwekea msingi mzuri nchi yake, Leo Ghana ni shining example ndani ya Afrika, President Madiba pia bila hekima zake SA ilikua inaingia in civil war hasa baada ya kuuliwa Chris Hani, President Samia so far so good, slowly but sure nchi inaanza kurudisha heshima yake,kisiasa na kuichumi welldone
Samia hana Curriculum Vitae.Acha ufala, search ipo wazi kabisa. Kama huna cha kupost nyonyesha watoto home hapo.
Uongozi mzuri au mbaya ni mtazamo wa mtu, inategemea wewe ulikuwa upande upi.Uongozi sio CV Ni baraka za Mungu tu, Magufuli alikua na Elimu ya hapa na pale na akawa Rais wa nchi japo hakua kiongozi mzuri... Utagundua My gu humpa amtakaye
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Patrice Lumumba na Samora Machael walikuwa na elimu ya chuo kikuu?Anglia legacy yao.Hahaha.
Chuo Kikuu je?
Uelewa wa hawa jamaa ni changamoto sana.Shida ya wabongo ndo hii sasa, wewe umeombwa CV ya SAMIA badala ya kuileta umeanza kuleta porojo za Mugabe.
Kwahiyo kwa hoja yako unataka tuamini kwamba Samia hana kisomo ila anaweza kuongoza? Okay tumekubali, lakini tunataka CV yake kama ipo.
Kwahiyo unasema kwamba samia hakufika chuo kikuu?Patrice Lumumba na Samora Machael walikuwa na elimu ya chuo kikuu?Anglia legacy yao.