Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Harafu ukiiona ndio itakuongezea ugali?

Watu wenye little IQ mna shida sana yaana yaani mnaamini Sana makaratasi yenu hayo.
Ndugu Huwa naona unacopy na kupaste data mbalimbali kujibu Hoja.

Hebu mjibu huyu Uchwara asijechukua point 3.

Bt at least watu wanaongea Awamu hii maana thread kama hii ingeshafutika mapemaaaa.
 
..swali liloulizwa ni rahisi sana kulijibu.

..tatizo ni uwezo mdogo wa Uv-Ccm ambao wanawajibika kutoa majibu.

..hoja zinapowekwa mezani, Uv-Ccm badala ya kujibu, hushtaki kwa Polisi kuwa wametukanwa, au kuna uchochezi.
Watu wako busy kulamba asali, nyie huku endeleeni kutafuta majibu ya CV.

Sio lazima wote tuhangaike na hizo CV. Mkizipata zifanyieni kazi mnavyotaka.

Sie tunachoamini ikiwa hata Magufuli alikuwa Rais basi hakuna atakayeshindwa kazi hiyo hapa Bongo
 
Unamaanisha nini bwana mkubwa?
CV ya Migiro inaweza kuwa ni kubwa kuliko ya Bi Samia ila hebu angalia alivyoingia kwenye Politics na kufikia alipofikia ni Bahati yake tu.

Na trust me amefit vizuri kabisa kwenye nafasi yake hiyo.

Wanawake na haswa wa Visiwani ni Smart mimi huwa namfuatilia sana Shangazi Bi. Fatma Karume ni Akili tupu.

Wanawake wapewe fursa zaidi huenda tukatoboa ka Taifa.
 
Ikiwa anaendesha nchi vizuri ,hizo cv za kuwapendezesha watu hatutaki . wananchi tunataka maisha Bora nchini
 
CV ya Migiro inaweza kuwa ni kubwa kuliko ya Bi Samia ila hebu angalia alivyoingia kwenye Politics na kufikia alipofikia ni Bahati yake tu.

Na trust me amefit vizuri kabisa kwenye nafasi yake hiyo.

Wanawake na haswa wa Visiwani ni Smart mimi huwa namfuatilia sana Shangazi Bi. Fatma Karume ni Akili tupu.

Wanawake wapewe fursa zaidi huenda tukatoboa ka Taifa.
Hapa sasa nimekuelewa.

Kikubwa na cha msingi ni BAHATI — Haijalishi una kisomo au hauna.

Samia hana kisomo, lakini ameimudu nafasi ya urais ambayo aliipata kwa BAHATI.

Hapo tuko sawa sawa?
 
CV ya Samia ni: 2021

CV ya Samia ni hii: 1) 2021 -....... Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2) 2021 -...... Jemadari mkuu wa majeshi yote Tanzania
3) 2015 - 2022 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
4)
Safi sana, hao ndiyo ktk Cv zao wanaandika primary school. Hospital aliyozaliwa. Ukifuatilia vizuri utagundua wanachojaza ni Location.
 
Unajibu kirahc sana, sa ATAGOMBEAJE sa [emoji854][emoji854][emoji854]
Nini kugombea, sema ataendelea kuwa Rais mpk Mungu mwenyewe atakapoamua kwa sbb kuwa Rais nchi hakujawahi kuamuliwa na sanduku la kura wala CV za mtu.
Kama CV ndo zinampa mtu uRais basi Lipumba angeshakuwa Rais
 
Safi sana, hao ndiyo ktk Cv zao wanaandika primary school.

Haijalishi. Mradi ni CV iliyopatikana kwa juhudi na bidii.

Bwana hamna raha kama kujigamba kupata jambo lako ulilolitolea jasho.

Mimi hata shule ya msingi najaza, maana nilisota kweli kweli kwa miaka saba.

Lakini hizi titles za URITHI, mara sijui amiri jeshi mkuu!! Unapewa kwenye kisahani!

Ukifanya kazi kwa bidii unajitapa bwana. Hakuna wa kukubabaisha.
 
Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.

Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.

Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.

Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.

Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?

Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.

Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.

Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.

Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Sasa bibie we mwenye CV nzuri huna bahati unaishia kudanga tu, lilia bahati mbuuzi wewe
 
Sasa bibie we mwenye CV nzuri huna bahati unaishia kudanga tu, lilia bahati mbuuzi wewe
Labda anaona wivu kwamba ana CV nzuri lkn chini ya asokuwa na CV km zake.

Walikaririshwa darasani kuwa CV ndo inampa mtu cheo
 
Back
Top Bottom