Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Shida ya wabongo ndo hii sasa, wewe umeombwa CV ya SAMIA badala ya kuileta umeanza kuleta porojo za Mugabe.

Kwahiyo kwa hoja yako unataka tuamini kwamba Samia hana kisomo ila anaweza kuongoza? Okay tumekubali, lakini tunataka CV yake kama ipo.
Mtoa hoja na wewe mnaonyesha upumbavu wenu hapa, tunaosoma to understand, kitu ambacho ndio nakifanya, utaona lengo la uzi huu ni kutaka tumwone our president hajaenda shule, angetaka cv ya president angeipigia simu ikulu or google it,na pia why uhusishe cv yake na PS wa NGO!,huu ni upumbavu mkubwa usiotibika na wala sio ujinga
 
Hili alilizungumza yeye mwenyewe alirudishwa nyumbani mpaka alipofik8sha 18 ndipo akaendelea na kazi. Acheni nongwa.
"Nongwa", unanikumbusha Ile kauli ya marope aliulizwa swali lingine, akajibu lingine.
 
Ana mwaka 1 madarakani kila kitu bado ni masalia ya Uongozi wa Magu, uraisi wake utaanza kuonekana kuanzia 2024/25, hakuna kitu kipya alichokianzisha uniondoa madarasa ya mkopo wa World Bank na imf!
Sasa kama uongozi wake haujaanza kuonekana mbona anaanza kukosolewa sasa, anakosolewa kwa lipi wakati uongozi bado ni wa awamu iliyopita?
 
Halina haja ya kukutesa wakati mlishangilia alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza wa JPM na mkawapa kura 2015 na 2020. Au hamkuelewa maana ya mgombea mwenza? Kwa sasa nawashauri mtulie tu muuguze maumivu.
 
dah hata cijaelewa mbona anama-certificate nyingi nyingi kumzidi Mugabe, halafu nyingi ni za ughaibuni naona kama tumepigwa hapo
 
Wangehoji hiyo elimu wakati amependekezwa kuwa mgombea mwenza NOT now. Au hawakuelewa maana ya mgombea mwenza. Kwa sasa haina maana tena. Watulie tu
 
Wangehoji hiyo elimu wakati amependekezwa kuwa mgombea mwenza NOT now. Au hawakuelewa maana ya mgombea mwenza. Kwa sasa haina maana tena. Watulie tu
Capacity ndo inafanya watu kuhoji.

Hadi sasa siamini kama mwigu na marope Bado wamekalia ofisi za UWAZIRI.

Siamini, ni TANZANIA pekee.
 
Tofautisha utajiri na kuiongoza serikali. Mikataba unaijua? Sera na sheria? Huwezi kuwahimiza wananchi wajitutumue kutafuta kisomo, tena kwa gharama kubwa, ilhali wewe huoneshi mfano.

President anapaswa kuwa kielelezo ladhimu (impeccable role model) almost katika kila nyanja za bora.
 
Halina haja ya kukutesa wakati mlishangilia alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza wa JPM na mkawapa kura 2015 na 2020. Au hamkuelewa maana ya mgombea mwenza? Kwa sasa nawashauri mtulie tu muuguze maumivu.
Ni kweli inabidi tutulie tuugulie haya maumivu ya kuongozwa na slow learner.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…