Usisahau.amekua hadi kwenye baraza la mawaziri la kikwete!!Great point bro! Huyu mama siju alitokea wapi hadi akawa mgombea mwenza 2015, maana hakuna aliyekuwa anamjua kabla ya hapo. It's about time people question her real (family) background, as it remains a mystery to many Tanzanians to date.
Hata mjomba anaweza kupokea mahariKwani huyu Waziri wa Maliasili na utalii alimkabidhi nani mahari ya mkewe?
Not always!Baba anayemjua ni Mama.
Nani huyo alikuwa mrundi tena, mzee Mkapa au ?Ndio maana tunaongozwa hata na warundi.....historia ya Raisi sio siri
Kaka yake ni rais wa Zanzibar
Hao unaowataja ndio watakaopotosha zaidi.Ingependeza mngewasiliana na ofisi ya mawasiano Ikulu, hapa JF mnaweza kupotoshwa bure.
Damn son.Not always!
Kuna mazingira hata mama anakuwa hajui!
Say mama had sex with 3 men in a span of one week. Unprotected sex.
One of the dudes that she smashed can’t get a woman pregnant.
The other two men, can.
And she ends up getting preggo.
In that case, who’s the daddy?
Babu yetu anaitwa Mzee Suluhu....mwalimu Suluhu....uko bwashee?!!!Naomba nijue wazazi wa mama yetu, sijawahi kuona makala Wala popote wakioneshwa au kusimuliwa. Imekuwa tofauti Kwa watangulizi wake hayati Magufuli wazazi wake wamesimuliwa na mama yake Susanna picha zake zinajulikana, Mzee wake apumzike Kwa amani. Pia mama mlezi wa JK amehojiwa na akaweka wazi kuwa wazazi wa JK walitangulia mbele za haki, mwenyezi Mungu awarehemu.
Kwa mama, yeye alisema baba yake alikuwa mwalimu, hajataja zaidi.
Vyombo vya habari hakuna vilivyomtaja, kama yupo au ametangulia.
Naomba wakuu mnisaidie kujua jina la Babu yetu, tumpongeze Kwa kuzaa mtoto mzuri, anaongoza vizuri na hakika alistahili kuwa alivyo.
Babu yetu anaitwa mwalimu Suluhu....anajulikana na kila mmakunduchi.....ukija kwenye sherehe zetu za jadi za kila mwaka huitwa mwakakogwa in shaa Allah nitakwenda kukuonesha maswahiba zake akina mzee Jaje ,Pole,mzee Fikiri ,mzee Aba Ayubu na wengineo...Kaka yake ni rais wa Zanzibar
Haya mambo haya yakiendelea kufichwa fichwa iko siku moto utalipukaKaka yake ni rais wa Zanzibar
Kuficha nini ?!!!Haya mambo haya yakiendelea kufichwa fichwa iko siku moto utalipuka
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Wekeni wazi basi , mbona wajomba tulionyeshwa ?Kuficha nini ?!!!
Kila mzee wa kizimkazi na makunduchi anamfahamu mwalimu Suluhu....ni maarufu mno.....njoo kwenye sherehe za kuoga mwaka (mwakakogwa) ukutanishwe na maswahiba zake kina Mzee Ameir Kidinga ,Abal Qassim Uhunzi ,Mzee Pema Abdallah ,Mzee Ali Nongwe na wengineo.....
Haswaaa......waziri wa muungano.....Usisahau.amekua hadi kwenye baraza la mawaziri la kikwete!!
Evelyn Salt ! Ndio maana hata wewe dume zima umeamua kutumia jila la mwanamke mahiri mwigizaji wa 🇺🇸! Yaani hicho ndio kipimo halisa cha upumbafu ulionaoNdio maana tunaongozwa hata na warundi.....historia ya Raisi sio siri