Unamaanisha wanatawala kaka na DadaAliyepewa Gari Mpya aina ya Benz iliyo chini sana miaka kadhaa iliyopita ili asipate shida Kuipanda kutokana na sasa kuwa ni Mzee mno huku akikosa hata Kumbukumbu za Kuwajua Wanawe baadhi wenye Vyeo kama alivyokuwa navyo Yeye kati ya mwaka 1985 hadi 1995.
Baada ya hassanmbona kila siku huwa linatajwa, au ulidhania ni majina ya nani yale mengine?
Huwa anatamkwa mama Samia Suluhu Hassan.
Family moya inaongoza countriesSasa afiche baba yake ndiyo iwe nini! Kwani kama ingekuwa ni mtoto wa mwinyi kama mnavyodai lingekuwa kosa gani hadi afiche.
Wanga hawa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kitu unakitafta siyo bure
Unamaanisha Msigwa huyu aliesemaIngependeza mngewasiliana na ofisi ya mawasiano Ikulu, hapa JF mnaweza kupotoshwa bure.
Kwa hiyo na remote yetu iko Omani!!??Wazazi wapo Oman [emoji1][emoji1]
Ali Hassan mwinyiSiyo swali
siyo Mwinyi kama munavyojiaminisha. Baba yake ni mzaliwa wa Kizimkazi, mzee Mwinyi ni mzaliwa wa Mkuranga.Baada ya hassan
Nimecheka sana baada yakusoma hii"Hili nalo mkalitazame..." 🙂 🙂 🙂
Ndugu inaonekana umevurugika kweli kweli unahisi utaondolewa kwenye CHEO ulichozawadiwa...usiwaze Nchi hii chini ya ccm kila kitu kinawezekana kwahiyo kula ugali wako kwa Amani maana hata kama nikweli mnatawalaWewe mdada Bu'yaka umekuwa lini mjinga kiasi hichi acha upumbafu wako jadili familia yako na mamako!
Nenda deep zaidi ya hapaAlishakuwa waziri Zanzibar. Baadaye akawa waziri Serikali ya Tanzania. Baadaye Makamo mwenyekiti Bunge la Katiba.
Sema cccm Magu aliwekwa pale sababu ya woga wa ccm kushindwa uchaguzi ndio wakatuwekea huyoWakulaumiwa ni Magufuli
Ikiwa afya ya Rais ni top prioritized secret, ndo utajiwe jina la baba yake?Naomba nijue wazazi wa mama yetu, sijawahi kuona makala Wala popote wakioneshwa au kusimuliwa. Imekuwa tofauti Kwa watangulizi wake hayati Magufuli wazazi wake wamesimuliwa na mama yake Susanna picha zake zinajulikana, Mzee wake apumzike Kwa amani. Pia mama mlezi wa JK amehojiwa na akaweka wazi kuwa wazazi wa JK walitangulia mbele za haki, mwenyezi Mungu awarehemu.
Kwa mama, yeye alisema baba yake alikuwa mwalimu, hajataja zaidi.
Vyombo vya habari hakuna vilivyomtaja, kama yupo au ametangulia.
Naomba wakuu mnisaidie kujua jina la Babu yetu, tumpongeze Kwa kuzaa mtoto mzuri, anaongoza vizuri na hakika alistahili kuwa alivyo.
Wewe inaonekana bado ni mtoto mdogo sana!!! Samia kafahamika mwaka 2015!!!!! Tafuta nyadhifa mbalimbali alizowahi kushika kabla huko Zanzibar na kwenye URT kabla hujaandika huu utumbo!!!Great point bro! Huyu mama siju alitokea wapi hadi akawa mgombea mwenza 2015, maana hakuna aliyekuwa anamjua kabla ya hapo. It's about time people question her real (family) background, as it remains a mystery to many Tanzanians to date.
Evelyn Salt ni mwanamke mahiri muigizaji!!??Evelyn Salt ! Ndio maana hata wewe dume zima umeamua kutumia jila la mwanamke mahiri mwigizaji wa [emoji631]! Yaani hicho ndio kipimo halisa cha upumbafu ulionao
Tanzania hakuna waandishi wa habari wala vyombo vya habari zaidi ya Jamii Forum.Mkuu Kiranga , nimeisoma post yako nikaguswa na kujisikia shame on Tanzanian media!. Look at the good work BBC wamefanya!. Samia ni rais wetu, sisi local media zetu tupo, kumjua rais wetu ni mpaka media itoke all the way from London!. Shame!, shame!, shame! all Tanzania local media, Pascal Mayalla inclusive!.
Halafu tukiambiwa local media ya Tanzania ni ovyo, tunajifanya kukasirika kuwa tunaonewa!.
P
Kuna kitu unakitafuta basi utakipata.Naomba nijue wazazi wa mama yetu, sijawahi kuona makala Wala popote wakioneshwa au kusimuliwa. Imekuwa tofauti Kwa watangulizi wake hayati Magufuli wazazi wake wamesimuliwa na mama yake Susanna picha zake zinajulikana, Mzee wake apumzike Kwa amani. Pia mama mlezi wa JK amehojiwa na akaweka wazi kuwa wazazi wa JK walitangulia mbele za haki, mwenyezi Mungu awarehemu.
Kwa mama, yeye alisema baba yake alikuwa mwalimu, hajataja zaidi.
Vyombo vya habari hakuna vilivyomtaja, kama yupo au ametangulia.
Naomba wakuu mnisaidie kujua jina la Babu yetu, tumpongeze Kwa kuzaa mtoto mzuri, anaongoza vizuri na hakika alistahili kuwa alivyo.
Jamaa unarukaruka kama maharage yakiwa jikoni ....weka jina la baada ya Hassansiyo Mwinyi kama munavyojiaminisha. Baba yake ni mzaliwa wa Kizimkazi, mzee Mwinyi ni mzaliwa wa Mkuranga.