Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Unamaanisha wanatawala kaka na Dada
 
Wewe mdada Bu'yaka umekuwa lini mjinga kiasi hichi acha upumbafu wako jadili familia yako na mamako!
Ndugu inaonekana umevurugika kweli kweli unahisi utaondolewa kwenye CHEO ulichozawadiwa...usiwaze Nchi hii chini ya ccm kila kitu kinawezekana kwahiyo kula ugali wako kwa Amani maana hata kama nikweli mnatawala
kaka na Dada hakuna kitu kitabadilika hapa watu wanajadili tu kwahiyo simbaya ukatoa ushahidi wa unachokijua sio kutukanana
 
Ikiwa afya ya Rais ni top prioritized secret, ndo utajiwe jina la baba yake?

Unataka kumroga🤣?
 
Great point bro! Huyu mama siju alitokea wapi hadi akawa mgombea mwenza 2015, maana hakuna aliyekuwa anamjua kabla ya hapo. It's about time people question her real (family) background, as it remains a mystery to many Tanzanians to date.
Wewe inaonekana bado ni mtoto mdogo sana!!! Samia kafahamika mwaka 2015!!!!! Tafuta nyadhifa mbalimbali alizowahi kushika kabla huko Zanzibar na kwenye URT kabla hujaandika huu utumbo!!!
 
Evelyn Salt ! Ndio maana hata wewe dume zima umeamua kutumia jila la mwanamke mahiri mwigizaji wa [emoji631]! Yaani hicho ndio kipimo halisa cha upumbafu ulionao
Evelyn Salt ni mwanamke mahiri muigizaji!!??
Nilicho na uhakika nacho ni kwamba huyo ni muhusika mkuu kwenye filamu ya "SALT".
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari wala vyombo vya habari zaidi ya Jamii Forum.
 
Kuna kitu unakitafuta basi utakipata.
 
siyo Mwinyi kama munavyojiaminisha. Baba yake ni mzaliwa wa Kizimkazi, mzee Mwinyi ni mzaliwa wa Mkuranga.
Jamaa unarukaruka kama maharage yakiwa jikoni ....weka jina la baada ya Hassan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…