Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Kama pandikizi la Burundi!
 
Kuna yule mzee aliwai onyewshawa kwa TV akisema aliwai soma na samia na kucheza nae utotoni huyo ataweza tusaidia
 
Wasifu wa sasa🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
.
 
Dah umenistua wasifu wa nini tena?
 
7. Mwanamke akilala na mwanaume huyu leo, na mwanaume huyu kesho, halafu akapata ovulation on the 3 day... hawezi kujua for sure ni ujauzito wa yupi mpaka mtoto azaliwe!......

9. Anayejua for surely who is baba halisi wa mtoto, ni mama!
Huoni kwamba unaji contradict ? Tushike lipi tuache lipi?

Bullet point yako namba 7, Mama mtu hawezi jua Baba ni nani iwapo amelala na watu wawili ndani ya siku kadhaa za ovulation, ndio sayansi. Sentensi yako namba tisa, "anaemjua baba ni mama" ni total garbage, msemo wa Waswahili tu, Nakusoma nielewe umekuja na sayansi ya kuni support au kunipinga nione nimekosea wapi, nakuta humo humo unaji contradict we mwenyewe, mbona unakurukupa kurupuka tu Mayalla ?
 
Haya mambo haya yakiendelea kufichwa fichwa iko siku moto utalipuka

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kuna wapuuzi humu wanatuambia Eti baada ya huyu anakuja aliyepo zenji nw aje kutawala huku 2025,

Nchi hii tupate KATIBA mpya na Tume huru kabla ya Uchaguzi wowote.

Nchi imevimba,

Wakilazimisha, mbeleni Si kuzuri.

Tusubiri.
 
Kwamba baba yake ni Marehemu Suluhu Hassan?

Lipo wapi kaburi Hilo?
 
Wewe inaonekana bado ni mtoto mdogo sana!!! Samia kafahamika mwaka 2015!!!!! Tafuta nyadhifa mbalimbali alizowahi kushika kabla huko Zanzibar na kwenye URT kabla hujaandika huu utumbo!!!
Nani anafuatilia viongozi wa Zanzibar wee kima!! Huyo alikuwa nobody hata huko Zanzibar.Labda nyie Maccm ndiyo mna interest ya kufuatilia nyadhifa za Maccm wenzenu hadi level ya mtendaji wa mtaa.
 
Kumekuchaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…