Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Kwa nin hii master ya community economy asiitumie vyema ...unajua kulishana michicha na ugali kisa mandege na SGR inakera sana
 
🤫 shhhhh

Nami niliona nikaguna tu.

Nikajisemea ngoja msiba uishe kwanza.

..nimeitafuta hiyo shahada sijaipata.

..pia kuna mtu aliwahi kuniambia Marekani masters huwa ni miaka miwili.

..sasa Mama Samia yeye kapiga kwa mwaka mmoja na ni online program.

cc Richard
 
Aliachana na mume wake muda mrefu tu.ila huyo mume nae analindwa kama kumpa heshima muheshimiwa. Walizaa watoto 4. Mtoto wake 1 amemuoa mtu ambae namfahamu
 
Aliachana na mume wake muda mrefu tu.ila huyo mume nae analindwa kama kumpa heshima muheshimiwa. Walizaa watoto 4. Mtoto wake 1 amemuoa mtu ambae namfahamu
Yanakuhusu! Kazi kusema ya wenzenu. Mbona wewe umeachika mara mbili hatusemi!
 
..sijui kwanini nina mashaka na shahada ya masters ya mama samia.

Open University Southern New Hampshire, USA M.A 2004 2005 Masters Degree

cc Nyani Ngabu, Richard
Njia alopita huyu mama ni sawa na njia alopita JPM RIP pale Salford kupitia UDSM.

Walijiendeleza na si wao tu wazee wetu wengi walifanya hivyo miaka ile wakisoma huku wakiwa kazini khasa ngazi ya masters.
 
Njia alopita huyu mama ni sawa na njia alopita JPM RIP pale Salford kupitia UDSM.

Walijiendeleza na si wao tu wazee wetui wengi walifanya hivyo miaka ile wakisoma huku wakiwa kazini khasa ngazi ya masters.

..hii ni sawa njia alopita Mary Nagu kwenye PhD yake?
 
Kwa hiyo mzanzibar kachukua JAMHURI[emoji16][emoji16][emoji16].
hongereni wazenji.
 
Njia aliyopita mama kwenye elimu ina Zigzag nyingi sana yaani trailer linaanzia katika elimu ya msingi
 
Kusema ukweli hapa tumepigwa

The next 5 year

1. No innovative projects

2. No visionary projects

Atakacho fanya ni mambo ya kawaida sana kama kulipa mishahara na kufungulia wafungwa.

Mama ataingoza taifa kwa story za kawaida sana, jiulize kama umewahi kusikia samia akiongea any critical issue?


Kumbuka Magufuli alitafuta makamu dhaifu ili aonekane yeye tuu..

Nadhani 2025 itabidi mchakato mpya ufanyike.
..sijui kwanini nina mashaka na shahada ya masters ya mama samia.

Open University Southern New Hampshire, USA M.A 2004 2005 Masters Degree

cc Nyani Ngabu, Richard
 

..kazi kubwa anayotakiwa kufanya Mama Samia ni kuondosha UKATILI uliotuvamia tangu mwaka 2015.

..kuna watu wameota MAPEMBE nchi hii na kujiona kama MUNGU-WATU hao ndio wanaotakiwa kushughulikiwa haraka sana.
 
Kwa hiyo aliolewa akiwa na miaka 18...
 
..sijui kwanini nina mashaka na shahada ya masters ya mama samia.

Open University Southern New Hampshire, USA M.A 2004 2005 Masters Degree

cc Nyani Ngabu, Richard
Hiyo Masters haina mawaa kabisa. Ni joint program kati ya University of New Hampshire na Open University of Tanzania ilikuwa ikitolewa miaka hiyo ya 2005-2007 (Sijui kwa sasa kama bado inatolewa kwa utaratibu huo). Ni wengi tu walisoma na kumaliza Masters program hiyo hata mkigoogle mnaweza kupata baadhi ya thesis/papers za wahitimu wa program hiyo. Hivyo ukiitafuta kwa program za New Hampshire peke yake huenda usiione.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…