Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AISEEEE!!!!Alizaliwa na kusomea Zanzibar mpaka form4.Akafanya kazi akapata uzoefu akajiendeleza mpaka masters.Akawa Makamu wa Rais.Baadaye akawa Rais nwenye maumbile ya kike.
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?
View attachment 2223348
Mtoto wa miaka 9 hawezi kuolewa! Sema alichukuliwa kwa nguvu!! Huo umri hautoshi kufanya maamuzi halali ya kuingia kwenye unyumba! Anayebisha aweke wazi hapa halafu aruhusu Binti yake aolewe akiwa na miaka 9!Mtume alioa mtoto WA miaka 9
Mod plz hiyo ni personal/family affairs sio suala la kujadili plz tuheshimu Raisi wetuNaona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?
View attachment 2223348
Kwani wewe wazanzibari huwajui?Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?
View attachment 2223348
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.