Yeye Mweupe kichwani kawa Rais, angekuwa na Akili si angekuwa Mfalme?
Wewe na akili zako zote umeishia kuwa Mchangiaji mwenzangu wa Jf, sasa ungekuwa mweupe kichwani sijui ungekuwa wapi?
Wewe na akili zako zote umeishia kuwa Mchangiaji mwenzangu wa Jf, sasa ungekuwa mweupe kichwani sijui ungekuwa wapi?
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.