Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Paramagamba atakua nayo.

Anyway nenda Wikipedia
 
Alizaliwa na kusomea Zanzibar mpaka form4.Akafanya kazi akapata uzoefu akajiendeleza mpaka masters.Akawa Makamu wa Rais.Baadaye akawa Rais nwenye maumbile ya kike.
 
Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?

Screenshot_20220513-203050_Opera Mini.jpg
 
Naona aliolewa mwaka 1978,ilikuaje akakimbilia kuolewa akiwa binti mdogo kiasi hicho?

View attachment 2223348
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.
 
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.


Yaani na wewe uliyesoma miaka ya 90 unajiita wa zamani ?

Wale wa 60s nao unataka wajiitaje ?
 
Back
Top Bottom