Dishonourable discharge .Muhimu ni kwamba hakufukuzwa UN.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dishonourable discharge .Muhimu ni kwamba hakufukuzwa UN.
Kwa taasisi kama hiyo sio mbaya Sana maana imeongeza CV kiaina, isitoshe nchi kubwa zina uwezo wa kukubakiza au kukutosa zikitakaDishonourable discharge .
Kivipi?Dishonourable discharge .
Mkuu mbona Mbowe aliishia form 4 na bado 2005 Chadema walitaka tumchague awe raisi wetu?Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Magufuli kasoma shahada zake zote UD; chuo kinachoongoza kwa ubora Tanzania. Habari ya elimu ya hapa na pale umeitoa wapi?Magufuli alikua na Elimu ya hapa na pale na akawa Rais wa nchi japo hakua kiongozi mzuri... Utagundua My gu humpa amtakaye
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Winston Churchhill alikuwa karani wa Benki kabla hajachguliwa kuwa waziri mkuu wa Uingereza, alitokea kuwa kiongozi bora na anekumbukwa na kuenziwa katika historia ya taifa hilo.
Ni kweli alisoma lakini kuna wakati alibadilika na kuwa kama mganga wa kienyejiMagufuli kasoma shahada zake zote UD; chuo kinachoongoza kwa ubora Tanzania. Habari ya elimu ya hapa na pale umeitoa wapi?
Wenye elimu ya hapa na pale walijaribu hata Hull University ikashindikana.
Even if you didn't like him, you should at least respect what he accomplished.
Mleta mada ni chawa wa mlamba asaliMbona CV yake ipo wazi tu?? Umesearch humu ndani au umekurupuka??
Kwani kwako wewe NGO unaielewaje?Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Naielewa kama NGO.Kwani kwako wewe NGO unaielewaje?
Labda anamaanisha kuwa hakupata qualifications za moja kwa moja za kuweza kuingia Form 5, ili kuingia moja kwa moja university.Magufuli kasoma shahada zake zote UD; chuo kinachoongoza kwa ubora Tanzania. Habari ya elimu ya hapa na pale umeitoa wapi?
Wenye elimu ya hapa na pale walijaribu hata Hull University ikashindikana.
Even if you didn't like him, you should at least respect what he accomplished.
Ni kweli, alikuwa anagawa Michele na akajulikana jimboni kama mama Michele na akapata Jina na akagombea ubunge. Watu wanapenda vya bure usisikie, mchele ukamtoa.Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Magufuli kasoma shahada zake zote UD; chuo kinachoongoza kwa ubora Tanzania.
Na wala hakuwahi kuwa na University DegreeWinston Churchhill alikuwa karani wa Benki kabla hajachguliwa kuwa waziri mkuu wa Uingereza, alitokea kuwa kiongozi bora na anekumbukwa na kuenziwa katika historia ya taifa hilo.
Mbowe huyu DJ?Mkuu mbona Mbowe aliishia form 4 na bado 2005 Chadema walitaka tumchague awe raisi wetu?
Hapa mleta mada umemgusa kalio, akikujibu nitagMkuu mbona Mbowe aliishia form 4 na bado 2005 Chadema walitaka tumchague awe raisi wetu?
Ulisikia CV kubwa ndio kufanya vizuri. Wenye CV za kutisha wengi wamebakia kuharibu tu...Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Hawa jamaa kwa kutunga uzushi hawajambo.Uongo!
Churchill alitoka familia kubwa na elite, hivyo hawezi kuwa karani kama jinsi unavyofikiria karani!