Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Hebu acha kutuletea Bhangi hapa, Hao viongozi wenye visomo wameifikisha wapi africa tangu 1960! Ni bora mara 100 ya Abeid Aman Karume darasa la saba, kuliko PHD ya Mugabe au Bokkasa na wengine wengi mno! Kisomo ni takataka tu mbele ya utawala! Utawala ni hekima.. Ndo maana tuna historia ya kiongozi Bora Suleiman ambae silaha yake ilikuwa ni hekima sio kisomo.
Kama kuna mvuta bangi au chizi , wewe utakuwa umekubuhu.
Na si hivyo tu, unaonekana hata hujui maana ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi ni nini.

Unaweza kunieleza ni kitu gani kibaya zaidi alichofanya Mugabe, na ni kipi kizuri sana alichokifanya Abeid Karume hadi uwaweke kwenye makundi tofauti?
Unapokuwa huwezi kutumia akili yako mwenyewe kuchambua mambo, lakini unakimbilia kuimba nyimbo za kufundishwa kama kasuku, wewe unakuwa ni mtu au roboti?
 
Anaupiga mwingi sana na elimu yake inayodharaulika humu ndani. Anao uwezo mkubwa wa kuwasiliana na watu wa mataifa mbalimbali, ni msikilizaji mzuri na anayekubalika kimataifa.

Elimu kuna wakati inakuwa ni mbwembwe tu za kishamba, Steve Harvey hana degree ya aina yoyote ni tajiri mkubwa USA.

Cristiano Ronaldo hana hata diploma, ni tajiri mkubwa anayelisha mamilioni ya watu na kusomesha wasio na uwezo duniani pote.

Punguzeni huu ushamba wa kupapatikia elimu.
Tanzania anastahiki kumpata rais anayekubalika na kuwafanyia kazi waTanzania, siyo mataifa ya huko unayoyatafuta wewe.
Samia hana uwezo. Hadi 2025 Tanzania itakuwa ni jalala la uchafu wa hao unaowaita watu wa nje wanaomkubali yeye.

Na zaidi ya yote, na pengine ndiyo chanzo cha ubovu wa uongozi wake, Samia hana maslahi ya nchi hii moyoni mwake.
 
Too late. Mngemkataa alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Au hamkufahamu maana yake?
Wewe unaposema haya ya kumkataa unajuwa wazi kwamba hakuna uwezo wa kumkataa yeyote chini ya CCM. Yeyote anayeletwa na CCM wananchi hawana utashi wowote wa kumkataa. Hivyo ndivyo nchi yetu ilivyofikia katika uharibifu.
 
Wewe unaposema haya ya kumkataa unajuwa wazi kwamba hakuna uwezo wa kumkataa yeyote chini ya CCM. Yeyote anayeletwa na CCM wananchi hawana utashi wowote wa kumkataa. Hivyo ndivyo nchi yetu ilivyofikia katika uharibifu.
Basi kama tunayafahamu haya na kuyakubali, why wasting time, resources, energy kulalamika hayo kwenye mitandao wakati we can't change anything?
 
Wewe unaposema haya ya kumkataa unajuwa wazi kwamba hakuna uwezo wa kumkataa yeyote chini ya CCM. Yeyote anayeletwa na CCM wananchi hawana utashi wowote wa kumkataa. Hivyo ndivyo nchi yetu ilivyofikia katika uharibifu.
Kalamu unaposema nanukuu "hakuna uwezo wa kumkataa yeyote chini ya CCM. Yeyote anayeletwa na CCM wananchi hawana utashi wowote wa kumkataa" mwisho wa kunukuu. Hayo maneno uliyoandika wewe yana maana gani tofauti na niliyosema mimi? Kwamba kama hatuna utashi na hayo , kwamba either tunayataka au hatuyataki hatuna uwezo wa kuyabadili, kwa nini tupoteze time, resources na energy kuyapigia kelele kwenye mitandao?
 
Wewe unaposema haya ya kumkataa unajuwa wazi kwamba hakuna uwezo wa kumkataa yeyote chini ya CCM. Yeyote anayeletwa na CCM wananchi hawana utashi wowote wa kumkataa. Hivyo ndivyo nchi yetu ilivyofikia katika uharibifu.
Kwa lugha rahisi unapokuwa huna uwezo wa "kumkataa" mteuliwa kutoka CCM kwa maana nyingine ni kuwa "umemkubali"
 
Makapi ya mwendazake bwana.
Jamaa yao aliunga unga masomo wanasema ni msomi kuliko Mama. Kama kweli alikuwa mkemia huko kwenye ualimu alifuata nini?
Kama kweli alikuwa mwanasayansi kwenye siasa alifuata nini? Na ni vipi elimu yake ya kemia imemsaidia?
"ARCARDIC ACID IN PREVENTING RUSTING"
Ndio research ya Ph. D ya Magu
 
Ni kazi iliyolingana na uwezo wake wa kisomo, siyo urais.

Kwani wasomi wametufikisha wapi baada ya miaka 60 ya uhuru? Mbona bado tunaishi kwa misaada na watu wengi wana hali mbaya sana kiuchumi?
 
Kwani wasomi wametufikisha wapi baada ya miaka 60 ya uhuru? Mbona bado tunaishi kwa misaada na watu wengi wana hali mbaya sana kiuchumi?
Wewe unataka turudi pale tulipoanzia mwaka 1961?
Huyu unayemwimbia hakika hata tuliyokwishafanikiwa yatazidi kupotea! Haonyeshi matumaini kabisa ya kuwa na uwezo wa kulisukuma mbele taifa hili.

Tusipokuwa waangalifu, mbegu ya vurugu na mifarakano kati yetu ndiyo itakayokuwa jambo la kawaida. nchini kwani anajenga matabaka.
 
Wewe unataka turudi pale tulipoanzia mwaka 1961?
Huyu unayemwimbia hakika hata tuliyokwishafanikiwa yatazidi kupotea! Haonyeshi matumaini kabisa ya kuwa na uwezo wa kulisukuma mbele taifa hili.

Tusipokuwa waangalifu, mbegu ya vurugu na mifarakano kati yetu ndiyo itakayokuwa jambo la kawaida. nchini kwani anajenga matabaka.

Nataka tuingie karne ya 21 lakini bado tunaishi maisha waliyoishi wenzetu karne ya 18. Sasa hao wasomi wana faida gani?
 
Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.

Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.

Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.

Binafsi sijawahi kuona CV ya Samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.

Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?

Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.

Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.

Lakini hii CV ya Samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.

Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Ame hack sio? [emoji23]
 
Back
Top Bottom