Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Migalatia hii itatuharibia nchi na uzwazwa wao, kila kitu inakubali imeletewa ushoga wameupokea na sasa wanaletewa mchelemchele midenda inawatoka
 
Mkuu;
1. Hivi ww huwa unakubali kula chakula kwa kuangalia au kupata taarifa kwamba kimetolewa na nani na kutoka wapi?
Je, huko hotelini au kwa mamalishe huwa kabla ya kula unauliza kwamba ugali samaki au wali maharage vimetoka wapi?
2. Duh! Unataka kila kitu Serikali / Wizara ifanye na ndo maana wapo ambao hawataki kuchangia chakula cha watoto wao wanafunzi shuleni hadi watoto hao wameathirika kwa Utapiamlo mkali. Hii sio sawa. Unatakiwa uwajibike sehemu yako na Serikali itawajibika panapohusika. Je, Serikali ilikusaidia kuzaa? Umemzaa mtoto unapswa kumlea- Kumbuka mtoto ana Haki zake na mojawapo ni kupewa chakula.
2. Ni misaada ipi ukipewa utapokea kwa mfano.
 
Lakini mbona kama wanahoja...chakula tunacho, tunalima wenyewe why watuletee mchele wao??

Wasikilizwe...tusiwe km mazwazwa
 
Hoja yao inaongozwa na wasiwasi na ni mufilisi. Tunaletewa misaada ya madawa,chanjo, condom , vyandarua n. K mbona hawalalamiki. Ishu ya ushoga mwenye nguvu akiamua juu ya watu wajinga na wasioweza hata kujilisha atafanikiwa hata kama si kwa kuleta mchele.
 
Lakini mbona kama wanahoja...chakula tunacho, tunalima wenyewe why watuletee mchele wao??

Wasikilizwe...tusiwe km mazwazwa
Chakula hicho tulicho nacho mbona hatuwapi wanafunzi wanakufaa njaa na kuathiriwa na utapiamlo?
 
HIvi kwenye yale mambo ya bandari kuna maswali ya wananchi yalijibiwa badala ya kukamata na kuweka ndani? Wakili Mwabukusi na Dr Slaa ni wahanga! Bado unaona ni vyema bandari zote apewe mwekezaji mmoja! Umeuona ule mkataba!?? IGA etc. Kuna mambo yanaendelea hapa nchini! Kila wakati Wananchi wakiamua kupigia kelele kuhofia raslimali au maslahi yao utaona lihoja likija hasa UDINI!
Hebu ona sakata la bandari lilivyotaka kuuliwa kwa UDINI. Tuwape waarabu kwa vile ni waislamu wenzetu/Tusiwape waarabu kwa sababu ni waislamu.

Sualo la Mchele kutoka marekani! HIvyo hivyo
Narudia ni lazima kuna mbwa wa TISS wanaovuruga mijadala ya kijamii hapa!!
 
Migalatia hii itatuharibia nchi na uzwazwa wao, kila kitu inakubali imeletewa ushoga wameupokea na sasa wanaletewa mchelemchele midenda inawatoka
Mkuu kwani nyama za ngamia wanazopewa waislamu kutoka uarabuni zimepimwa? Unajua waarabu wanatia nini kwenye nyama zile?
 
Unajuwa waarabu huwa wanaweka nini kwenye hizo tende mkuu?
Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
 
Hakuna kitu kitapita kiwandani kisiwekwe kirutubisho mkuu..
Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
 
Wakristo hawana huo muda mchafu wa kujadili vitu vya kijinga na kuja kutoa misimamo ya kijinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…