Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

R.I.P Magufuli

Sasa tunaletewa vitu vya kijinga badala ya kuletewa vitu vya maendeleo kwa nchi yetu.

Ni wamarekani hawahawa kwa kumtumia mamluki Tundu Lisu wanayemsomeshea watoto wake walipinga ujenzi wa bwawa la umeme alafu wanajifanya wanatupenda sana kutuletea mchele!!
We yatima lissu anakuwasha sana.
 
Ubaguzi uko wapi hapo, kusema hawataki mchele huo ndio wewe unaita ubaguzi?
Wewe huo ubaguzi huuoni? Wanabagua mchele kutoka Marekani lakini wanakubali nyama ya ngamia kutoka uarabuni.
 
Yote ya yote adhabu ya kumtukana mtu haizidi kifungo cha miezi sita faini labda laki mbili au tatu
Kwa hali tuliyonayo kifedha/kiuchumi, kulipa laki mbili au tatu kimasihara ni nyingi mkuu.
Kifungo cha miezi sita ukijumlisha na gharama binafsi i.e. muda wako na nauli+usumbufu wa kuhudhuria kesi mahakamani ikiwemo kukaa rumande kidogo ni ghali sana mkuu. Kwa nini ujitakie hayo? Kumbuka wahenga walisema "Mdomo uliiponza shingo"
Ni hayo tu.
 
Hapana atashtakiwa na atahukumiwa kulingana na sheria ambayo inafanya kazi sawa kwa kila mtanzania bila kuangalia pesa alizonazo au cheo au ukubwa
Lakini mkuu si unaujua mchakato wa kuanzisha na kuendesha mashtaka ulivyo? i.e Unaanza na Polisi (halafu unawajua polisi wetu hawa ukizingatia tangu wakukamate hadi uambiwe una Shitaka la kujibu mahakamani ni mtindo wa nenda rudi-nenda rudi..) then Kesi ifunguliwe na kusikilizwa mahakamani (ukizingatia itapigwa tarehe...... na unaweza ukanyimwa dhamana 😁 ) Utachoka sana aisee licha ya kuambiwa eti Sheria itachukua mkondo wake. Ndo mana wengi hujitahidi kuepuka mambo ya mahakamani.
 
Lakini mkuu si unaujua mchakato wa kuanzisha na kuendesha mashtaka ulivyo? i.e Unaanza na Polisi (halafu unawajua polisi wetu hawa ukizingatia tangu wakukamate hadi uambiwe una Shitaka la kujibu mahakamani ni mtindo wa nenda rudi-nenda rudi..) then Kesi ifunguliwe na kusikilizwa mahakamani (ukizingatia itapigwa tarehe...... na unaweza ukanyimwa dhamana 😁 ) Utachoka sana aisee licha ya kuambiwa eti Sheria itachukua mkondo wake. Ndo mana wengi hujitahidi kuepuka mambo ya mahakamani.
Ndomana tunajadili hapa mana hakuna asiyejua mfumo wa mahakama na police wetu hawa hivyo mijadala kama hii itasaidia kuibua chachu ya kufanya marekebisho kwenye vyombo vyetu vya sheria
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Huu mchele kwanza tujue ni nani ameuagiza maana hata waziri wa kilimo bashe haelewi. Binafsi nina shaka na huyu macho kumchuzi aliyeteuliwa majuzi ccm. Alikutana na balozi wa marekani makao makuu na wanaccm wanamapinduzi wakashtuka sana marekani wanafuata nini ccm.
 
Huu mchele kwanza tujue ni nani ameuagiza maana hata waziri wa kilimo bashe haelewi. Binafsi nina shaka na huyu macho kumchuzi aliyeteuliwa majuzi ccm. Alikutana na balozi wa marekani makao makuu na wanaccm wanamapinduzi wakashtuka sana marekani wanafuata nini ccm.
Mbona mchele uliokuja awamu ya kwanza na ya pili umeliwa bila shida? Huu wa awamu ya tatu una shida gani wakati TBS wameupitisha uliwe?
 
Mbona mchele uliokuja awamu ya kwanza na ya pili umeliwa bila shida? Huu wa awamu ya tatu una shida gani wakati TBS wameupitisha uliwe?
Kama kuna michele ilishaletwa toka marekani msaada uliyowekwa virutubisho itakua imeletwa kinyemela. Watu hawakujua.
 
Kama kuna michele ilishaletwa toka marekani msaada uliyowekwa virutubisho itakua imeletwa kinyemela. Watu hawakujua.
Mchele umeishaletwa awamu mbili na kulishwa kwa wanafunzi bila shida. Na huu wa awamu ya tatu umepimwa na TBS na kuthibitika ni salama kwa matumizi ya binadamu. Wewe shida yako nini?
 
"waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance" nikifika hii sehemu inanichekesha sana😀😀😀😀
 
Ndomana tunajadili hapa mana hakuna asiyejua mfumo wa mahakama na police wetu hawa hivyo mijadala kama hii itasaidia kuibua chachu ya kufanya marekebisho kwenye vyombo vyetu vya sheria
Ni kweli kama wanapitaga humu jamvini wanaweza wakabaini na kujifunza kitu.
 
Hiv
Migalatia hii itatuharibia nchi na uzwazwa wao, kila kitu inakubali imeletewa ushoga wameupokea na sasa wanaletewa mchelemchele midenda inawatoka
Hivi ushoga uliopo Zanzibar na Mombasa nao unaweza kuwa ulisababishwa na kula vyakula vya kutoka Marekani?
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Kwani we unasemaje? Na wakristu wakitoka hadharani unadhani watakuwa kinyume na wenzao?
 
Mwenye huo mchele uliotiwa virutubisho atuwekee picha.
Kuna kesi za chanjo za korona zinaendelea hukohuko unakotoka mchele wenye virutubisho,wanauwana wenyewe kwa wenyewe itakuja kuwa sisi waTz tena weusi kwa shida tu.
 
Back
Top Bottom