Ni Gereza Kufuata Watoto Hao Maana WanasomaMmmh sikuhizi watoto wamechangamka jamani miaka 14 kashaanza😀😀😀😃
Zamani walikuwa wanaolewa na umri huoMmmh sikuhizi watoto wamechangamka jamani miaka 14 kashaanza😀😀😀😃
Mbona wote uliowataja Sio Madaktari Mnadhalilisha Fani kwa kutumia majina Ya Daktari..MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.
Chanzo: Nipashe
Duh lakini ukweli ni kuwa mtoto huyo amesaidiwa sana... 14 years old sio umri wa kuzaa mtoto
Nimewaangalia MCT nimewakosa ,wanaweza kuwa ni manesiMbona wote uliowataja Sio Madaktari Mnadhalilisha Fani kwa kutumia majina Ya Daktari..
Hao si madaktari
Chief, watu wanajiandikia tu. Yeyote anaeonekana akiranda hospitalini mwenye koti ni daktari.Mbona wote uliowataja Sio Madaktari Mnadhalilisha Fani kwa kutumia majina Ya Daktari..
Hao si madaktari
Probably ni CO'sNimewaangalia MCT nimewakosa ,wanaweza kuwa ni manesi
Clinical officer hospital ya rufaa akafanye nini?Probably ni CO's
Hospitali ya wilaya. Kahama mjiniClinical officer hospital ya rufaa akafanye nini?
Mpaka ana akili ya kutoa mimba,huyo ni mzoefu.Mmmh sikuhizi watoto wamechangamka jamani miaka 14 kashaanza😀😀😀😃
Wasukuma watu wa ajabu sana. Unatomba 14 yrs old baby. Na ukifatilia utakuta ni Janaume jitu zima pengine lizee kabisa lina familia na watoto.MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.
Chanzo: Nipashe
Ni umri tu wa kufanya umalaya. Si ndio!Duh lakini ukweli ni kuwa mtoto huyo amesaidiwa sana... 14 years old sio umri wa kuzaa mtoto
Co wanatakiwa waishie level ya zahanati tu,ni ajabu kumuweka Co hospital ya wilayaHospitali ya wilaya. Kahama mjini