cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chief, watu wanajiandikia tu. Yeyote anaeonekana akiranda hospitalini mwenye koti ni daktari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chief, watu wanajiandikia tu. Yeyote anaeonekana akiranda hospitalini mwenye koti ni daktari.
Wamesimamishwa kazi tu na siyo kufunguliwa mashtaka ya kuua(mtoto tumboni)na jaribio la kutaka kuua mtoto mwingine wa miaka 14?Hawapo makini.MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.
Chanzo: Nipashe
Kwahiyo na wewe una shida ya nyege?Ndiyo. Unataka ulambe? Njoo. Shida niliyo na yo, ni kama hiyo uliyo nayo.
We 😅Naamuru hao madaktari waachiliwe mara moja na warudishwe kazini.
Kwanza mitoto yenyewe malaya, inatombwa hovyo na mabodaboda, kwanini jumba bovu aangushiwe daktari?
Maadili kitu gani? Nani mwenye maadili hii Tanganyika? Kila mtu muhuni tu.
Warudishwe kazini mara moja. Alaaah!
Utajua mwenyewe. Unahangaikia nini? Umeandika,ukajibiwa. Hujafurahia,potezea au jibu kistaarabu. Ila malezi na yo yanachangia. SikulaumuKwahiyo na wewe una shida ya nyege?
Utajua mwenyewe. Unahangaikia nini? Umeandika,ukajibiwa. Hujafurahia,potezea au jibu kistaarabu. Ila malezi na yo yanachangia. Sikulaumu
Kaanzisha matusi nani? Ebwana eh,sina mda mchafu. Wakati mwingine usitarajie kuungwa mkono kila comment. Kama haijakupendeza,pita,kimya. Ya nini utukane? Kwani lazima kila mtu achangie maoni yanayokulidhisha wewe!? Nini maana ya mjadala!!!Yaani uandike matusi utarajie kujibiwa kistaarabu?
Una stress? Unahitaji msaada?
Huyu ni wewe tho.Hm. Chizi kweli. Wangekutoa ungekua unaandika hizi pumba? Wewe ulizaliwa mama yako akiwa na umri gani!? Kama hiyo 14-15 mbona hujawa aborted? Kama alikuwa na 20s, kwa nini hakuza akiwa na umri huo?
Na uhakikishe vijana mtaani wana access ya kumbinua binti yako kila kuchako,mimba mtoe tu. Si ndo uanaume huo! Na sheria sasa ya kufunga wanaogonga under 18, ya kazi gani?
Wasukuma watu wa ajabu sana. Unatomba 14 yrs old baby. Na ukifatilia utakuta ni Janaume jitu zima pengine lizee kabisa lina familia na watoto.
Sheria ya jela miaka 30, ingepigwa kwa nusu ME 15, KE 15 hapa tutasahau hizi kesi
Kwamba alifanywaje? Mitoto ya siku hizi!!! Inawazidi mama zao wingi wa hilo tukio weeee. Na kama alibakwa,si mahakama inatoa muongozo,mimba inatolewa. Mtoaji atafatiliwa kwa lipi?! Kalipenda kenyewe. Hako badae kapelekwe sehemu nyingine kuficha aibu ya familia,kakifika vijana waanze shobo. Daadeki.
Naamuru hao madaktari waachiliwe mara moja na warudishwe kazini.
Kwanza mitoto yenyewe malaya, inatombwa hovyo na mabodaboda, kwanini jumba bovu aangushiwe daktari?
Maadili kitu gani? Nani mwenye maadili hii Tanganyika? Kila mtu muhuni tu.
Warudishwe kazini mara moja. Alaaah!
Clinical officers wenyewe wanachukua leseni MCT,labda baadhi hawatiliwi mkazo kama mchangiaji alivyochangia.Mkuu Daktari huwezi kuruhusuwa kufanya kazi kama hujafaulu intern na kupewa lessen ya kutibu..
Mayb unazungunzia COs
Binafsi nakuelewa. Nachopingana nacho, ni chanzo ni nini? Siku hizi wanaiga kila wakionacho. Nani wa kukemea? Wazazi. Wanakemea kweli? Hapana. Mama analala na kijana wa kazi,mwenye miaka 16. Baba anamsaula binti wa kazi,miaka 16. Huyu nae wahuni na binamu,lazima wampe. Na ukizingatia hata nyumbani ameyashuhudia,lazima ajue kuna nini.Unawaongelea hao watoto as if wanajitia na mijiti ama matango huko ukeni??!!
Ni members wangapi humu wanapita kwenye corridors za JF wakijisifia kuwalaghai na kufanya nao ngono hao watoto?
Wengine wanaanzisha campaign kabisa umri wa kuwaoa upunguzwe zaidi na sheria inayosema binti wa chini ya miaka 18 ni mtoto nayo ifutwe, unadhani ni wanawake hao?!
Ngono imekua kipaumbele cha jamii kubwa sana kwa sasa. Ni kinyaa!
Musukuma akiwa ni daktari wa falsafa hatulalamikiMbona wote uliowataja Sio Madaktari Mnadhalilisha Fani kwa kutumia majina Ya Daktari..
Hao si madaktari