Wasimamishwa kazi kwa kumtoa mimba Mwanafunzi mwenye miaka 14

Aisee hawa vitoto vya siku hizi
havishikiki duu japokuwa hao madokta wamemsaidia ili aende shule
 
Nnachozungumzia ni COs kuwa wengi ambao hawajajisajili MCT.
Yeah ni kwel kwa CO wengi wa zaman kabla ya 2020 hawajasajiriwa, Ila walioajiriwa baadae tuliwalazimisha kusajili ili.kupata MCT.number kwa ajili ya BIMA..
Ila wale waliokuwa hawana MCT number kabla yao walipewa namba maalumu kutoka bima reg..
 
Mkuu wote tuna oongea tupo kweny field..Na nakusuport sana kuwa wapo ambao hawajasajili..
Ila wemgi wasio sajili ni CO na sio Madaktari
Kuanzia 2019 kushuka chini CO walikuwa hawajisajili na wanafanya kazi kama kawaida,MD ndio walikuwa wanasajiliwa ila baada ya matabibu vishoka kuwa wengi kupitia mgongo wa CO ,NHIF wakapitisha sheria lazima CO asajiliwe apatiwe leseni ndio aweze kujaza fomu zao za bima.
Sheria ya sasa kama haujasijiliwa na MCT hauwezi kufanya kazi popote pale iwe private au gov.
 
Nope, probably alibakwa..sihamasishi abortion lakini
Kwamba alifanywaje? Mitoto ya siku hizi!!! Inawazidi mama zao wingi wa hilo tukio weeee. Na kama alibakwa,si mahakama inatoa muongozo,mimba inatolewa. Mtoaji atafatiliwa kwa lipi?! Kalipenda kenyewe. Hako badae kapelekwe sehemu nyingine kuficha aibu ya familia,kakifika vijana waanze shobo. Daadeki.
 
Mkuu nakuelewa sana ila mwaka 2020 mpaka 2021 wale Ma COs waliokuwa Hawajasajiliwa MCT walipewa Utambulisho.maalumu kutoka NHIF (Wale waliokuwa wanafanya kazi serkalimi),,

Utambulisho huo ndo uliwawezesha kujaza form za Bima Ndo maana ma CO wengi walioko serikalini hawajasajiliwa..
 
Upo period nini? Mbona unadandia wanaume huwajui unaanza kutukana tu?

Wanawake wa siku hizi mna shida gani?
 
Nimekuelewa sana.
 
Wao wangetolewa wangekuwa madaktari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…