Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Abdiel aoe kwa prenup

Azae sasa


Kyln anawasumbua kwa gia Ya Matunzo Ya watoto , akioa kwa prenup agreement akija kuzaa wakaachana na mke bado atatakiwa kuudumia watoto wake hata kama kuna prenup japo hatumuombei aoe na kuachana kuepuka usumbufu jambo la Msingi aombe Mungu ampe mke wa kufanana nae tabia mwenye kujua kutafuta pesa zake na sio mroho wa Mali kama Mama yake wa Kambo Kylin

Abdiel alikua ana uhuni wa chini chini sana hawezi kuoa japo anataka kuoa Labda School mate wa Dada yangu Sharifa aitwe na bwana maana ameapa hautofunga Ndoa wewe si haumtaki unamkimbia unamkwepa unasema sio type yako ,

Abdiel alitongozwa na sharifa{ mshirikina shetani anasubili }kama mwanaume akaingia kupiga . dada kaliwa amegoma kuachika anazunguka kila pande ya Dunia kwenye uganga kuakikisha Abdiel haoi
Kaka ukitaka kuoa akikisha unamzidi ujanja huyo mwanamke ukifanya mchezo utasema kila siku naoa Kesho miaka inaenda. siku Nikimkuta sherry pale kilingeni nitapiga picha niweke hapa🤭🤭
 
Madada wa mjini hatari sana
Sana sana sana. Na ndo wanWakamata kiulaini mzee. Yaan hata leo hii nikaolewa na bilionea, yaan kitu ambacho sijakichangia hakijanitoa jasho. Naamini katika mafundisho ya dini yaliyonilea aisee. Na Mungu aninyine hiyo tamaa. Na hapa naiangalia familia yangu kwa baba ni extended balaa. Mzee akaanguka leo halaf nisikie fala mmoja anagombania mali. Namla na risasi. Hujazitafuta unaumia nn. Tabia mbaya sana. Tamaa ni mzizi wa dhambi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa na uwezo wakujenga nyumba tano za kisasa kila mwaka za gharama nafuu maeneo ya makazi ya watu ambayo sasa angeishi vizuri tu kwa kodi za wapangaji.

Ila shida wadada wa kisasa wanataka kuishi kama akina JLo au Kim Kardashian wakati kipato chenyewe ni cha kusuasua.
Halafu wanafikiria akina jlo wenyewe wanadanga hawafanyi kazi kumbe wenzao wanahenyeka ndo maana wana uwezo wa kumiliki hiki leo kesho kile... kwa maisha gani ya kunywa evening tea na mashost serena na sponsor amekufa?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ndio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,

Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
Kweli ndugu,tujifunze kutoka kwa mwanamke mwenzetu Zari the boss lady
 
Sana sana sana. Na ndo wanWakamata kiulaini mzee. Yaan hata leo hii nikaolewa na bilionea, yaan kitu ambacho sijakichangia hakijanitoa jasho. Naamini katika mafundisho ya dini yaliyonilea aisee. Na Mungu aninyine hiyo tamaa. Na hapa naiangalia familia yangu kwa baba ni extended balaa. Mzee akaanguka leo halaf nisikie fala mmoja anagombania mali. Namla na risasi. Hujazitafuta unaumia nn. Tabia mbaya sana. Tamaa ni mzizi wa dhambi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hahahahah
 
Halafu wanafikiria akina jlo wenyewe wanadanga hawafanyi kazi kumbe wenzao wanahenyeka ndo maana wana uwezo wa kumiliki hiki leo kesho kile... kwa maisha gani ya kunywa evening tea na mashost serena na sponsor amekufa?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Walikuwq wanakunywa chai serena!!![emoji15]

Nyie [emoji2]

Chai inanywea serena aisee [emoji86]
 
Alikuwa na uwezo wakujenga nyumba tano za kisasa kila mwaka za gharama nafuu maeneo ya makazi ya watu ambayo sasa angeishi vizuri tu kwa kodi za wapangaji.

Ila shida wadada wa kisasa wanataka kuishi kama akina JLo au Kim Kardashian wakati kipato chenyewe ni cha kusuasua.
Wakinipa 50m kila mwezi hadi mwaka unaishi nia nyumba 10 za standard ya kati
 
Alikuwa na uwezo wakujenga nyumba tano za kisasa kila mwaka za gharama nafuu maeneo ya makazi ya watu ambayo sasa angeishi vizuri tu kwa kodi za wapangaji.

Ila shida wadada wa kisasa wanataka kuishi kama akina JLo au Kim Kardashian wakati kipato chenyewe ni cha kusuasua.
aisee yule mwanamke ni hopeless sana daaa!
 
Walikuwq wanakunywa chai serena!!![emoji15]

Nyie [emoji2]

Chai inanywea serena aisee [emoji86]
Ndiooo. Na akina G5 yao. Wamemtemaga toka danga liende. Sasa hivi analilia chini ya mto na kamasi anapengea kwenye foronya kwa kuamini labda kumuondoa sponsor ndo angekula maisha kumbe maisha ndo yanamla...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ndiooo. Na akina G5 yao. Wamemtemaga toka danga liende. Sasa hivi analilia chini ya mto na kamasi anapengea kwenye foronya kwa kuamini labda kumuondoa sponsor ndo angekula maisha kumbe maisha ndo yanamla...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kyln anawasumbua kwa gia Ya Matunzo Ya watoto , akioa kwa prenup agreement akija kuzaa wakaachana na mke bado atatakiwa kuudumia watoto wake hata kama kuna prenup japo hatumuombei aoe na kuachana kuepuka usumbufu jambo la Msingi aombe Mungu ampe mke wa kufanana nae tabia mwenye kujua kutafuta pesa zake na sio mroho wa Mali kama Mama yake wa Kambo Kylin

Abdiel alikua ana uhuni wa chini chini sana hawezi kuoa japo anataka kuoa Labda School mate wa Dada yangu Sharifa aitwe na bwana maana ameapa hautofunga Ndoa wewe si haumtaki unamkimbia unamkwepa unasema sio type yako ,

Abdiel alitongozwa na sharifa{ mshirikina shetani anasubili }kama mwanaume akaingia kupiga . dada kaliwa amegoma kuachika anazunguka kila pande ya Dunia kwenye uganga kuakikisha Abdiel haoi
Kaka ukitaka kuoa akikisha unamzidi ujanja huyo mwanamke ukifanya mchezo utasema kila siku naoa Kesho miaka inaenda. siku Nikimkuta sherry pale kilingeni nitapiga picha niweke hapa[emoji2960][emoji2960]
Sasa analoga tu badala azae nae,sharifa huyo ni kilaza wenzake ungekuta wemezaa hata watoto watatu kwa kijana
 
Ndiooo. Na akina G5 yao. Wamemtemaga toka danga liende. Sasa hivi analilia chini ya mto na kamasi anapengea kwenye foronya kwa kuamini labda kumuondoa sponsor ndo angekula maisha kumbe maisha ndo yanamla...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Fununu kahamia dubai na watoto kuna danga jipya huko libilionea
 
Huyu mwanamke si alishakata rufaa juu ya usimamizi wa mirathi wa hao uliofanywa na Mahakama Kuu? Rufaa haijasikilizwa tena anapandishia kesi nyingine? Ameanza kupoteana mapema sana
Dishi kimepoteza signal
 
Sasa analoga tu badala azae nae,sharifa huyo ni kilaza wenzake ungekuta wemezaa hata watoto watatu kwa kijana


Mwanaume sio fala Mkuu anajikinga kila anapopita anajua mbegu zake zinawindwa😹😹😹😹😹Dunia Ina mambo kule Abdiel anapotaka azaliwe Mwanamke hakubali
 
Back
Top Bottom