Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Abdiel aoe kwa prenup
Azae sasa
Kyln anawasumbua kwa gia Ya Matunzo Ya watoto , akioa kwa prenup agreement akija kuzaa wakaachana na mke bado atatakiwa kuudumia watoto wake hata kama kuna prenup japo hatumuombei aoe na kuachana kuepuka usumbufu jambo la Msingi aombe Mungu ampe mke wa kufanana nae tabia mwenye kujua kutafuta pesa zake na sio mroho wa Mali kama Mama yake wa Kambo Kylin
Abdiel alikua ana uhuni wa chini chini sana hawezi kuoa japo anataka kuoa Labda School mate wa Dada yangu Sharifa aitwe na bwana maana ameapa hautofunga Ndoa wewe si haumtaki unamkimbia unamkwepa unasema sio type yako ,
Abdiel alitongozwa na sharifa{ mshirikina shetani anasubili }kama mwanaume akaingia kupiga . dada kaliwa amegoma kuachika anazunguka kila pande ya Dunia kwenye uganga kuakikisha Abdiel haoi
Kaka ukitaka kuoa akikisha unamzidi ujanja huyo mwanamke ukifanya mchezo utasema kila siku naoa Kesho miaka inaenda. siku Nikimkuta sherry pale kilingeni nitapiga picha niweke hapa🤭🤭