mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Mkuu tatizo lenu wazazi tukiwaita kwenye mikutano hamji Sasa wanaokuja wakishakubaliana na muhutasari ukiandikwa inakuwa sheria penda usipende utalipa siku nyingine ukisikia mkutano nenda kakatae huo mchango sio kuja kulia lia hapa JF na kuchafua taswira ya shule