mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
duhMkuu tatizo lenu wazazi tukiwaita kwenye mikutano hamji Sasa wanaokuja wakishakubaliana na muhutasari ukiandikwa inakuwa sheria penda usipende utalipa siku nyingine ukisikia mkutano nenda kakatae huo mchango sio kuja kulia lia hapa JF na kuchafua taswira ya shule
wazee wa weledi au siyoWote wanakosea lakini unaonaje Leo ungebonga na polisi tu
ni mwalimu huyo kaka.. ndo wale wale [emoji23]ndiyo watoto wapewe kiandazi kimoja na wali mbovu kweli?
Pesa chukua lakini wape watoto kilicho bora ....
wali mbovu maharage manne na michuzi mwaah! watoto wamehesabu yaani ubwabwa mbovu maharage yakuhesabu hayafiki hata matano! mchango elfu 6 kweli?
oooh nimeelewani mwalimu huyo kaka.. ndo wale wale [emoji23]
walimu nao wamegeuza maokoto wanafunzioooh nimeelewa
maticha wauza sambusani mwalimu huyo kaka.. ndo wale wale [emoji23]
Kuna shule moja.ipo mwembechai Ina frem kibao Ila imechangisha watoto 16000 ya chakula.umewaza hao wazazi pesa kama hiyo wanaipataje?
pengine 6000 kwao ni mlo wa familia
walichokula sasa cha buku jeroKuna shule moja.ipo mwembechai Ina frem kibao Ila imechangisha watoto 16000 ya chakula.
una uhakika? ukiwa kwenye himaya za watu huna mamlaka za kuwasema vibaya kwa hofu ya kukosa huduma mhimu!Kwa mtu mzima kuuliswa mwenendo wa dereva anaweza akatoa majibu maxuri