Manara sio malaika afurahishe watu woteMimi ni Yanga ila Manara analeta mambo ya kipumbavu wakati anajua tukio hili Kuna watu wametulia kufuatilia anatuletea mambo ya uhuni uhuni.Mfano Habari ya Aziz Ki na Mabeto haya ni mambo ya wasanii huko yeye analeta kwenye mpira
Pale coach alishasema wachezaji wajiande kwa warm up yeye anaropoka hatoki hadi aje. Na muda ulikuwa nje ya ratiba"Sitoki mpaka aje hapa" Zungu ndio anazidi kunipa hamasa ya kuona simba na yanga upuuzi
Binafsi naipenda sana simba ila sijafikia kuwa shabiki mpuuzi puuzi
Mkuu hapo kwa Marioo umemsingizia.. katekeleza alichopaswa kufanya walau 87%. Jarmonize kazingua..Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Mkuu naona umeamua umkabie juuUzi wako wa Ki Aziz mahesabu yale tukumbushe
Upo sahihi mkuu, huwezi kufanya kitu ukaridhisha kila mtu lakini kuna ile ku-behave professionally, hasa kwenye matukio yanayojumuisha watu wengi na wa namna tofauti kama ilivyokuwa leo. Yule mzee hiki kipengele kavurunda kwa leo mkuu..Manara sio malaika afurahishe watu wote
Wewe kama hilo jambo hujalipenda jua Kuna mwingine kalifurahia, jifunze kustahiliana
Mimi binafsi sipendi mziki wa mapiano ila siwezi kuchukua dj akipiga mapiano watu wakaruka
Dah! Ama kweli matatizo ya akili hayawez kuisha nchi hii kwa akili.hizi...Show imefunika vibaya mno, watu hawakumbuki kabisa kama jana tu ilikuwa Simba day! Kila kitu kilikuwa super mwake mwake babake!! Yanga inatisha kwenye show za kibabe, dunia nzima imeona na kushangaa jinsi Yanga inavyoshinda kila kitu hadi matamasha na mafataki!!
Vitu vilivyowauma sana makolo ambavyo hawana ni wananchi kuvaa uzi mpya uwanja mzima jana zilikuwa kauka nikuvae jezi za zamani mashabiki wa Simba hawana hela ya jezi, makombe matatu makali, mashabiki kujaza viwanja viwili ni maajabu, nongwa za Manara kutambulisha dada zake wa ikwiriri, mrembo Mobeto kuvalishwa jezi na Ki Aziz , kiongozi mkubwa sana kupewa kadi, gari kali la Kitenge, show bab kubwa ya Marioo na Harmonize na ile show kabambe ya half time, mpira kama Real Madrid msako mkali mwanzo mwisho timu ina muunganiko, goli la dhahabu la Mudathir, chenga hatari za Pacome na penati ya karne ya Ki Aziz kipa kaenda sokoni na mengineyo.
Makolo muwe mnaanza tamasha lenu kila siku sisi uto tunamalizia na kuwapoteza!!
Kuwa mkweli acha ushabiki, tamasha la ovyoo kabisa, kuwafunga red arrows mpaka wapewe kadi nyekundu , upuuzi mtupu hakuna protocol unorganized events . Tujifunze kwa simbaShow imefunika vibaya mno, watu hawakumbuki kabisa kama jana tu ilikuwa Simba day! Kila kitu kilikuwa super mwake mwake babake!! Yanga inatisha kwenye show za kibabe, dunia nzima imeona na kushangaa jinsi Yanga inavyoshinda kila kitu hadi matamasha na mafataki!!
Vitu vilivyowauma sana makolo ambavyo hawana ni wananchi kuvaa uzi mpya uwanja mzima jana zilikuwa kauka nikuvae jezi za zamani mashabiki wa Simba hawana hela ya jezi, makombe matatu makali, mashabiki kujaza viwanja viwili ni maajabu, nongwa za Manara kutambulisha dada zake wa ikwiriri, mrembo Mobeto kuvalishwa jezi na Ki Aziz , kiongozi mkubwa sana kupewa kadi, gari kali la Kitenge, show bab kubwa ya Marioo na Harmonize na ile show kabambe ya half time, mpira kama Real Madrid msako mkali mwanzo mwisho timu ina muunganiko, goli la dhahabu la Mudathir, chenga hatari za Pacome na penati ya karne ya Ki Aziz kipa kaenda sokoni na mengineyo.
Makolo muwe mnaanza tamasha lenu kila siku sisi uto tunamalizia na kuwapoteza!!
Kama hujayaona mapungufu ya kipumbavu leo basi una tatizo kichwani. Mtu anawaharibia tukio lenu namna ile halafu unaona poa tu.Show imefunika vibaya mno, watu hawakumbuki kabisa kama jana tu ilikuwa Simba day! Kila kitu kilikuwa super mwake mwake babake!! Yanga inatisha kwenye show za kibabe, dunia nzima imeona na kushangaa jinsi Yanga inavyoshinda kila kitu hadi matamasha na mafataki!!
Vitu vilivyowauma sana makolo ambavyo hawana ni wananchi kuvaa uzi mpya uwanja mzima jana zilikuwa kauka nikuvae jezi za zamani mashabiki wa Simba hawana hela ya jezi, makombe matatu makali, mashabiki kujaza viwanja viwili ni maajabu, nongwa za Manara kutambulisha dada zake wa ikwiriri, mrembo Mobeto kuvalishwa jezi na Ki Aziz , kiongozi mkubwa sana kupewa kadi, gari kali la Kitenge, show bab kubwa ya Marioo na Harmonize na ile show kabambe ya half time, mpira kama Real Madrid msako mkali mwanzo mwisho timu ina muunganiko, goli la dhahabu la Mudathir, chenga hatari za Pacome na penati ya karne ya Ki Aziz kipa kaenda sokoni na mengineyo.
Makolo muwe mnaanza tamasha lenu kila siku sisi uto tunamalizia na kuwapoteza!!
Yanga Tamasha lao lilikua zuri tena lenye utulivu licha ya watu kuwa wengi na kutumika viwanja viwili.Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
HAYA NDIO MAAAJABU 15 YA YANGA BONANZA LEOYanga Tamasha lao lilikua zuri tena lenye utulivu licha ya watu kuwa wengi na kutumika viwanja viwili.
Tamasha la Simba Majukwaa yalikua na mapengo sasa ili kuondoa aibu ilibidi walazimishe watu waingie Bure, Matokeo yake watu waka vunja mageti wakati Wana pambania fungulia Mbwa.
Kinacho fuata ni fain ya uharibifu wa Mali za umma.
Yanga Tamasha lao lilikua zuri tena lenye utulivu licha ya watu kuwa wengi na kutumika viwanja viwili.
Tamasha la Simba Majukwaa yalikua na mapengo sasa ili kuondoa aibu ilibidi walazimishe watu waingie Bure, Matokeo yake watu waka vunja mageti wakati Wana pambania fungulia Mbwa.
Kinacho fuata ni fain ya uharibifu wa Mali za umma.
Hiki ndio kiwango cha upumbavu tunachosema.Uzi wako wa Ki Aziz mahesabu yale tukumbushe
Hiki ndio kiwango cha upumbavu tunachosema. Nadhani wewe ndio kinara wao humuKumbe unafatilia Yanga
Mhasibu wetu😅