Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

Sasa , Kwanza suala la muda , mbona sisi Wanayanga hatulisemi ? Tumerizika kabisa, hizo kelele za nini ?
Na ndiyo maana nyie muna siku yenu na sisi yetu ,
Kwa hiyo munataka tufanane , mnachokifanya na sisi tufanye ?
KWA HIYO ALIYOFANYA MO JUZI NI SAHIHI ? KUTAMBULISHA UKOO WAKE ? Hili nalo lilikuwa kwenye ratiba yenu , mo atambulishe dada zake ,
ACHENI MAMBO YA AJABU
Tumerizika??? Shida imeanzia hapo. Nenda shule dogo
 
Manara sio malaika afurahishe watu wote
Wewe kama hilo jambo hujalipenda jua Kuna mwingine kalifurahia, jifunze kustahiliana
Mimi binafsi sipendi mziki wa mapiano ila siwezi kuchukua dj akipiga mapiano watu wakaruka
Issue siyo mapungufu ya kibinadamu.

Manara aliboa kila mwenye akili timamu.

Mnalalamika mashabiki wa Yanga hawaendi uwanjani, lakini kwa yaliyo tokea jana ni ushahidi wa wazi kwanini mtu kwenda uwanjani lazima ajiuoize mara 100.

Imagine, mtu katoka nyumbani kaacha wazazi, ameenda na watoto, au ameenda na pesa ya chakula cha mchana pekee??

Au mtu katoka Morogoro, Bunju, Boko, Tegeta, Madale, Kimara, Kibaha, anarudi vipi kwa usafiri tulio nao??
 
Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.

Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?

Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.

1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?

2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.

3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.

4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.

Na mengine mengi.

Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Usitegemee makubwa toka kwa Yanga, ile ni timu ya Kiswahili na ndiyo maana mambo yao ni ya Kiswahili swahili tu siku zote.
 
Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.

Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?

Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.

1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?

2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.

3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.

4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.

Na mengine mengi.

Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Wewe ni Yanga? Inakuhusu? Acha wivu.
 
Hata mimi kiukweli sijafurahishwa na mambo kadhaa kwenye tamasha la jana;

1. Kupangwa siku ya Jumapili, badala ya Jumamosi! Na hii ni kutokana na ukweli kwamba baadhi ya mashabiki wanatokea Mikoani, na usikute ni wafanyakazi! Sasa unarudi vipi Mkoani na kuwahi kazini?

2. Mchezo wa kuhitimisha tamasha kuanza saa tatu usiku! Wakati mwingine nashauri mchezo uanze kati ya saa 11 - 1 jioni, ili watu waondoke mapema kurudi majumbani kwao. Sidhani kama kulikuwa na sababu ya msingi ya kuanza saa tatu usiku.

3. Hajji Manara adhibitiwe. Huyu kiumbe akiendelee kuachwa afanye anavyotaka; bila shaka kuna siku watu watasusa kuhudhuria hilo tamasha. Haiwezekani mtu mmoja ajione ana haki ya kufanya chochote anachojisikia hata kama ni kitu cha kipuuzi! kwenye kundi la watu elfu 60+.
 
Gsm wanamuogopa manara wanajua wakimchinjia baharini ataitisha press na kuanza kuwaanika km alivyomfanyia mo dewji.

Inakuwa kama ile hadithi ' nani wa kumfunga paka kengele? Wanakosa ujasiri wa kumwambia hahitajiki yanga
Na tokea arudi hana alichoongeza zaidi ya drama tu!
Show ikiendeshwa na Manara kunakuwa na maujinga kama haya.
GSM Kama anampenda Sana Manara ampatie kazi nyingine ndani ya kampuni zake tofauti na Yanga.
 
Ahmed Ally ni mtu mmoja ila kapangilia Sana siku yake. Kwanza kitendo Cha kutumia ngoma ya kienyeji ni superb Sana tofauti na Hawa waliokuwa wanatuambia mikono juu, kushoto kulia, say yo yo, washa tochi wakati mwanga ni mkali. Mzungu wa buza na Yale ma I iiiiiiiiiii habadiliki. Wamezidiwa mpaka na ashim ibwe kule rwanda Jana? Mimi huwa sijui wale chawa mwenye timu kitenge na zembwela huwaleta wa nini?
upande wa protocol alikuwa hovyo

hivi Mangungu alitambulishwa ?
 
Gsm wanamuogopa manara wanajua wakimchinjia baharini ataitisha press na kuanza kuwaanika km alivyomfanyia mo dewji.

Inakuwa kama ile hadithi ' nani wa kumfunga paka kengele? Wanakosa ujasiri wa kumwambia hahitajiki yanga
Na tokea arudi hana alichoongeza zaidi ya drama tu!
Manara hajawahi kufanya kazi GSM, sidhani kama anawajua.

GSM wamewahi kuanikwa humu na mtu waliyemtimua na mpaka leo wapo wanadunda, na alikuwa mtu muhimu aliyekuwa Manager wa GSM Mall wakati inaanza
 
Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.

Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?

Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.

1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?

2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.

3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.

4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.

Na mengine mengi.

Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Mkuu familia yako inafahamu unapigania haya yasiyo na tija...
😂😂
 
Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.

Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?

Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.

1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?

2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.

3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.

4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.

Na mengine mengi.

Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Ndugu mshabiki,ulienda uwanjani kwa raha zako,umefurahi kwa raha zako,ilipofikia hatua ukakereka ungeondoka kwa raha zako na ungebakia na raha zako.
 
Manara hajawahi kufanya kazi GSM, sidhani kama anawajua.

GSM wamewahi kuanikwa humu na mtu waliyemtimua na mpaka leo wapo wanadunda, na alikuwa mtu muhimu aliyekuwa Manager wa GSM Mall wakati inaanza
Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara
Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
 
Back
Top Bottom