Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumerizika??? Shida imeanzia hapo. Nenda shule dogoSasa , Kwanza suala la muda , mbona sisi Wanayanga hatulisemi ? Tumerizika kabisa, hizo kelele za nini ?
Na ndiyo maana nyie muna siku yenu na sisi yetu ,
Kwa hiyo munataka tufanane , mnachokifanya na sisi tufanye ?
KWA HIYO ALIYOFANYA MO JUZI NI SAHIHI ? KUTAMBULISHA UKOO WAKE ? Hili nalo lilikuwa kwenye ratiba yenu , mo atambulishe dada zake ,
ACHENI MAMBO YA AJABU
Issue siyo mapungufu ya kibinadamu.Manara sio malaika afurahishe watu wote
Wewe kama hilo jambo hujalipenda jua Kuna mwingine kalifurahia, jifunze kustahiliana
Mimi binafsi sipendi mziki wa mapiano ila siwezi kuchukua dj akipiga mapiano watu wakaruka
Usitegemee makubwa toka kwa Yanga, ile ni timu ya Kiswahili na ndiyo maana mambo yao ni ya Kiswahili swahili tu siku zote.Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Wewe ni Yanga? Inakuhusu? Acha wivu.Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Lile lilikuwa ni tukio la kijinga sana. Bila shaka waliomuajiri Hajji Manara watakuwa wamejifunza kitu.Yani Mobeto na Azizi walikosa sehemu ya kuvishana tisheti jamani mpk mbele ya makamu wa Rais? Mgongo wote nje
Aibu niliona mimi🥹Yani Mobeto na Azizi walikosa sehemu ya kuvishana tisheti jamani mpk mbele ya makamu wa Rais? Mgongo wote nje
Show ikiendeshwa na Manara kunakuwa na maujinga kama haya.
GSM Kama anampenda Sana Manara ampatie kazi nyingine ndani ya kampuni zake tofauti na Yanga.
upande wa protocol alikuwa hovyoAhmed Ally ni mtu mmoja ila kapangilia Sana siku yake. Kwanza kitendo Cha kutumia ngoma ya kienyeji ni superb Sana tofauti na Hawa waliokuwa wanatuambia mikono juu, kushoto kulia, say yo yo, washa tochi wakati mwanga ni mkali. Mzungu wa buza na Yale ma I iiiiiiiiiii habadiliki. Wamezidiwa mpaka na ashim ibwe kule rwanda Jana? Mimi huwa sijui wale chawa mwenye timu kitenge na zembwela huwaleta wa nini?
aliukimbia [emoji2][emoji2]Uzi wako wa Ki Aziz mahesabu yale tukumbushe
Manara hajawahi kufanya kazi GSM, sidhani kama anawajua.Gsm wanamuogopa manara wanajua wakimchinjia baharini ataitisha press na kuanza kuwaanika km alivyomfanyia mo dewji.
Inakuwa kama ile hadithi ' nani wa kumfunga paka kengele? Wanakosa ujasiri wa kumwambia hahitajiki yanga
Na tokea arudi hana alichoongeza zaidi ya drama tu!
Mkuu familia yako inafahamu unapigania haya yasiyo na tija...Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Ndugu mshabiki,ulienda uwanjani kwa raha zako,umefurahi kwa raha zako,ilipofikia hatua ukakereka ungeondoka kwa raha zako na ungebakia na raha zako.Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika.
Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano kwanini hakuna mabadiliko?
Leo sasa, ukitoa tamasha kuendeshwa kiswahili swahili(very unprofessional) kuna mambo mengi ni ngumu kuelewa.
1. Suala la ratiba, hii ni kichekesho watu wameanza kuingia saa tatu, unakuja kuwatoa saa tano dakika 20 usiku? Siku ya jumapili na kesho ni shule na makazini?
2. Hivi Haji Manara na kundi lake ni kitu gani walikua wanafanya pale? Mazoea au Jeuri, wamevunja protocal nyingi plus unnecessary drama hadi kero.
3. Show kuwa chini ya kiwango, hivi Harmonize amefanyaa show bure? Sijaona zaidi ya washa tochiii.. Marioo nao ni wale wale poor, very poor.
4. Yuko wapi Ali Kwamwe? Heshimuni sana jitihada za huyu kijana.
Na mengine mengi.
Kipi kimekufurahisha au kukukera siku ya leo?
Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manaraManara hajawahi kufanya kazi GSM, sidhani kama anawajua.
GSM wamewahi kuanikwa humu na mtu waliyemtimua na mpaka leo wapo wanadunda, na alikuwa mtu muhimu aliyekuwa Manager wa GSM Mall wakati inaanza
Magoli ya dhahabu huwa yanapatikana baada ya timu pinzani kuwa pungufu?goli la dhahabu la Mudathir, chenga hatari za Pacome na penati ya karne ya Ki Aziz kipa kaenda sokoni na mengineyo.
Manara anatumiwa muda mrefu kumzungusha hawara yake jukwaani huku muda unaenda wanaanza kukimbizana baadayeAnakumbukwa Azizi Ki na Mobeto anasahaulika Manji 🤣🤣
Mafanikio ni Manara kugoma kuondoka stejini mpk afunge kamba za viatu vya Pacome? Upuuzi wa karneVijana tunasafiri ndefu ya mafanikio,