Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,672
- Thread starter
- #101
Ndugu mshabiki,ulienda uwanjani kwa raha zako,umefurahi kwa raha zako,ilipofikia hatua ukakereka ungeondoka kwa raha zako na ungebakia na raha zako.
Halafu nyakati zijazo mnakuja kuuliza kwanini mashabiki ni wazito kwenda viwanjani kusapport timu zao.
Huu ndio wakati sahihi wa kurekebisha makosa au mapungufu yaliyojitokeza.