Tetesi: Wasio na Vitambulisho vya Utaifa Kutopata Mshahara?

Tetesi: Wasio na Vitambulisho vya Utaifa Kutopata Mshahara?

Hamna kitu kama hicho,..kosa sio lako mi mwenyewe sijapata kitambulisho..unachotakiwa ni kwamba ufatilie kwa kina nida ili wakupe...upeleke kabla ya tar husika.

Sent from my DP7CPRO using JamiiForums mobile app
 
Wazee shukrani. Sasa hapa nipo NIDA wilaya. Foreni kubwa ni hatari tokea 6AM watu wamekuja. Wengi wamefuata ID number au IDs zenyewe. Wachache Sana wamekuja kuanza kujiandikisha kama Mimi.
 
Back
Top Bottom