Hamna kitu kama hicho,..kosa sio lako mi mwenyewe sijapata kitambulisho..unachotakiwa ni kwamba ufatilie kwa kina nida ili wakupe...upeleke kabla ya tar husika.
Wazee shukrani. Sasa hapa nipo NIDA wilaya. Foreni kubwa ni hatari tokea 6AM watu wamekuja. Wengi wamefuata ID number au IDs zenyewe. Wachache Sana wamekuja kuanza kujiandikisha kama Mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.