Wasioamini Mungu inawahusu

Wasioamini Mungu inawahusu

MUNGU akamshindwa shetani akaona atupe ss wanadamu tupambanee nayeee🤪🤪🤪🤪

Ww kuwezaaa...
Mungu akivyomuumba binadamu alimuonya kuwa kuna shetani! Aliwapa uamuzi waamue kumfuata Mungu ili wasitawi, au shetani alafu wafe! Binadamu akaamua kumfuata shetani! Sasa kosa la Mungu liko wapi? Acha wadundwe mpaka akili ziwakae sawa!
 
Mungu akivyomuumba binadamu alimuonya kuwa kuna shetani! Aliwapa uamuzi waamue kumfuata Mungu ili wasitawi, au shetani alafu wafe! Binadamu akaamua kumfuata shetani! Sasa kosa la Mungu liko wapi? Acha wadundwe mpaka akili ziwakae sawa!
Kosa lake Mungu lipo hapa yeye alizinguana na shetani akaamua kututupia sisi huku duniani kwa nini asingemtupia hata huko kwenye sayari ya JUPITER
 
Back
Top Bottom