iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
Haha Mkuu umejibu vizuri. Wao wanalia na wanaowania majimbo ili tusijikite katika kufuatilia atakayekalia kiti kikuu cha kifalme!?
Hapana acha tuwaweke pembeni hawa wadogo na tumjadili huyu mkubwa. Na anatumia pesa chafu na haramu kufanikisha nia na lengo lake!
Ufisadi wake tutakuja kuufichua hata uchaguzi ukimalizika!
tatizo la UKAWA ni priorities, hawajui kupanga lipi la kwanza, ukisikiliza wengi wanasema "tuitoe CCM kwanza alafu mengine baadaye", wanachotakiwa kufanya cha kwanza ni "kumkamata kibaka" aliyefukuzwa CCM akakimbilia ndani ya nyumba yao kwanza ndio watoe CCM.
Inasikitisha kuona chama kilichopewa nguvu na umma kupingana na ufisadi kinashutumiwa kwa ufisadi na kukaa kimya.
Nani kafukuzwa ccm sio AKILI ZA KONDOO WEWE.??? NIAMBIE HUKO CCM NANI ALIKUWA NA UWEZO WA KUMTIMUA MH LOWASSA? MMEBAKIA KUSHIKILIA MAPUMBU YA MABWANA ZENU WA LUMUMBA WALA MSIJUE LA KUFANYA. HEBU JIKITE KWENYE MAWAZO YA MLETA MADA. AMESEMA UTAJE MUHUJUMU UCHUMI AU FISADI KWA JINA MAARUFU. WEWE NA VIKARAGOSI WENZIO MNAKUJA NA CHEAP POLITICS HAPA. MUDA WAKE SIYO KWENYE UZI HUU. HEBU NITAJIE KIONGOZI MSAFI ALIYEKO CCM UKIANZA NA PALE IKULU.Sasa wamekuwa mufilisi wa hoja wamebaki kulalama tu na kusema wameichoka CCM. Ukileta hoja kama hii ya kwako utaambulia matusi nguoni
Nani kafukuzwa ccm sio AKILI ZA KONDOO WEWE.??? NIAMBIE HUKO CCM NANI ALIKUWA NA UWEZO WA KUMTIMUA MH LOWASSA? MMEBAKIA KUSHIKILIA MAPUMBU YA MABWANA ZENU WA LUMUMBA WALA MSIJUE LA KUFANYA. HEBU JIKITE KWENYE MAWAZO YA MLETA MADA. AMESEMA UTAJE MUHUJUMU UCHUMI AU FISADI KWA JINA MAARUFU. WEWE NA VIKARAGOSI WENZIO MNAKUJA NA CHEAP POLITICS HAPA. MUDA WAKE SIYO KWENYE UZI HUU. HEBU NITAJIE KIONGOZI MSAFI ALIYEKO CCM UKIANZA NA PALE IKULU.
Wewe mwenyewe mleta tayari ulipobainisha majina ya hao unawaona ni think tank ya JF UMEKUWA BIAS. Usingeli taja majina kwani wewe unaweza kuwaona hivyo wakati mtanzania mwingine hawaoni kwa jicho kama lako.
Umeharibu hapo mwishoni.
nauchukia ufisadi na MAVAZI YAKE YOTE!!!
Ninashukuru bado watanzania tupo ambao ni vigumu kutulaghai! Fisadi ni fisadi tu!
Nashauri Mh Freeman Mbowe achukue fursa hii kukanusha tuhuma zilizozagaa kila kona ya nchi kuwa alipokea tsh 12 billioni kama gharama ya "kiingilio/registration fee" ya Lowassa chadema. Akishindwa kukanusha tuhuma hizo mbele ya jamii hii, nadhani tutakuwa tumetenda haki kama tukiifanyia amendment list of shame na kumuongeza Mh Freeman Mbowe
Mtu huyu kaliwa pesa ile mbayaNilijua utadema kauza kumbe ni katoa kiingilio cha kuwa mwanachama, sasa kuna ubaya gani kulipa kiingilio kwenye chama?
Mtu huyu kaliwa pesa ile mbaya
Nilijua utadema kauza kumbe ni katoa kiingilio cha kuwa mwanachama, sasa kuna ubaya gani kulipa kiingilio kwenye chama?
kingilio gani hicho cha Usd 6m