Wasiojua kandanda nawaza kubwa Simba inaweza kushinda leo

Wasiojua kandanda nawaza kubwa Simba inaweza kushinda leo

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Ukiliangalia kwa umakini utagundua kubwa simba ina timu isiyoweza kufurukuta kwenye mashindano makubwa ya kimataifa. Kikosi chake ni dhaifu sana hasa katikati na nyuma. Hawana mlinda mlango wa kutumainiwa. Mechi za ligi kuu wanashinda kwa mbeleko ya waamuzi. Leo huenda ikawa siku ya aibu kubwa kwa soka la tanzania
 
Kwa wapinzani wanao angalia mechi kabla ya kucheza na timu husika watakua wana shangaa ni kwa namna gani Simba inaongoza ligi.

Makosa ya kibinadamu yamekua wakifaidika nayo wao tu na si timu zingine zinapo cheza ns Simba.

Naomba Azam Tv wasi pandishe maudhui ya mechi anazo cheza simba ni aibu kwa soka letu.
Ni bora aibu yetu tubakinayo apa ndani.
 
Kwa wapinzani wanao angalia mechi kabla ya kucheza na timu husika watakua wana shangaa ni kwa namna gani Simba inaongoza ligi.

Makosa ya kibinadamu yamekua wakifaidika nayo wao tu na si timu zingine zinapo cheza ns Simba.

Naomba Azam Tv wasi pandishe maudhui ya mechi anazo cheza simba ni aibu kwa soka letu.
 
images (2) (1) (1).jpeg
 
Back
Top Bottom