1.Mary nagu(hanang:huyu mama ana wivu sana na wanawake wenzake,hapendi kabisa kuona wanawake wengine wanakuja juu zaidi kisiasa hata kama wana uwezo kumzidi yeye, hana point za maana katika mazungumzo, hadithi zake nyingi zinaonesha yuko shallow tuuu, nadhani umbumbu wake ndio chanzo cha kuchaguliwa na JK kuwa waziri)
2.Damasi Nakei(babati vijijini:ni mzigo tuu,hana lolote awapo bungeni, babati vijijini maji ni ya shida, anahongwa na wahindi wa hapa kijiji alinde maslahi yao)
3.Omari Kwaang(babati mjini: huyu alikuwa headmaster enzi zile nasoma kiru primary, jama ni looser wa nguvu bungeni anahistoria ya kuuliza swali moja tuu, hivi majuzi tumepata taarifa kuwa anataka,2010, kwenda babati vijijini akagombee ubunge,ameskwisha ongoza miaka 15 sasa jimbo la babati mjini, leo anataka kwenda vijijini baaada ya kuona hakuna upinzani mkali, onyooo, tutakutoa kwa marungu, ukome na kampeni zako chafu za kutumia mgongo wa dini)