Mbega Mzuri
Member
- Aug 1, 2008
- 44
- 2
Job Yustino Ndugai - Kongwa. Huyu jamaa hafai kabisa, miaka 10 hakuna maendeleo, pengine anataka kumwiga Senyagwa aliyekaa miaka 20 akitaraji kupata japo ka-uwaziri na kusahau kabisa kuwaletea wananchi maendeleo. nadhani hastahili kurudi 2010 hata kama wanamwamini na kumwachia aongoze bunge wakati mwingine. mbunge gani ambaye 'anapita' kwa wananchi badala ya kwenda kwa wananchi? yeye hupita njia tu akiwa amefunga vioo tinted, huku wakulima na wafugaji wakiuana mpakani mwa Kongwa na Kiteto. inatosha miaka 10 bwana.