Wasiostahili kurudi bungeni 2010

Tedi Kasalabantu - Bukene
Edward Lowassa - Monduli
Lembeli - Kahama
Kilasi - Mbarali

Hawa ni watu ambao hawatakiwi majimboni mwao kasoro Lowassa ambaye inabidi atimuliwe kabla hajaleta United Republic of Mafisadi.
 
To do so you must come up with an alternative. Umesema nini kifanyike but haujasema haswa hiyo nchi bila bunge litaendeshwaje. How will your idea b implimented logically? Labda unge tueleza kidogo.

Nakubaliana na anayesema tufute bunge hili. Madiwani wanatosha! Miongoni mwao madiwani tuteue ama wachaguane mmoja kila halmashauri, waunde bunge la taifa. Hiyo itakuwa representation tosha na ya kufaa kuliko ya sasa hivi. Tutakuwa tumejipinguzia mzigo wa kuhudumia a bunch of over 200 useless chaps wanaochapa usingizi tu bungeni. Tuachane pia na huu upuuzi wa viti maalum and the like.
 
Nakubaliana na anayesema tufute bunge hili. Madiwani wanatosha! Miongoni mwao madiwani tuteue ama wachaguane mmoja kila halmashauri, waunde bunge la taifa. Hiyo itakuwa representation tosha na ya kufaa kuliko ya sasa hivi.
Mhe. kama kuna watu mafisadi nchi hii basi MADIWANI nao wako kwenye list. Yaani kwanza hawa uko kwenye kata zao ni kama miungu vile kwa sababu wanafanya maamuzi ambayo hayako hata kwenye description ya kazi zao! Kwangu mimi hawafai kuwa Wabunge hata kidogo!!!
 
Lucas Selelii Lumambo.
Kwa miaka 15 ameshindwa kulisaidia jimbo lake kwa jambo lolote,wananchi wanao ishi km kadhaa karibu na mgodi wameathirika visima vyao vya maji vimeathiri vimeathiriwa
Na uchafuzi wa Mazingira wa Mgodi kwa kuwa ana malori pale hawezi kukemea na matairi ya magari hupewa na wazungu ameshindwa kuwa kemea
 
"Eti" nimesikia Guninita anataka kugombania ubunge
Aaaagh! Aaaagh! Aaagh! 2010 na kuendelea linaweza kupatikana bunge ajabu sana tusipokuwa makini Watanzania
 
bwana yule kibibi shamsa aondolewe haswa kwenye rank nyeti kama ya utalii jamani inji hii frm nowhere to utalii hajui chochote inaniuma kweli na wengine wengine shukuru sijui watu watu wa ainayake tu wamelegea kama utumbo hao mawaziri hata ukiitwa na mmoja wao hautishiki hata .wachaguliwe strong people wasio na tamaa jamani hivi ni nini inji hii
 
bila kumsahau kishapeless kilichotitia kwa unene wa arumeru kile kibaba ni kibaya elisa molel hakitaki kuondoka na hataki maendeleo hata kidogo hakuna barabara ya lami wala iliyonzuri huko arumeru huyo baba ni tajiri ajabu anangojea kutumia pesa zake na kuwachinjia ngombe wachache anaowadanganya ili apate kura.
jamani tusaidieni huyu baba ameshatawala miaka 15 sijui tufanyeje last time hakupata hata ila waliiba hatakiwi hata ila jamani tusaidieni kibaba kinatisha hiki.
 
Anna Kione Kilango Malecela-Same Mashariki. jimbo la Same Mashariki liko nyuma kuliko majimbo yote katika mkoa wa Kilimanjaro. Same Mashariki iko nyuma ktk elimu,afya,maji,mazingira,misitu,kilimo,barabara.


Do u think it is because of Anna? If so you are mistaken, Anna amelikuta jimbo katika hali mbaya sana na amefanya juhudi kubwa sana katika muda wake wa ubunge.
 
Rita Mlaki ni mbunge wangu. Ulichokosea ni kwamba kati ya wabunge wanaotakiwa kuondoka, kumi wa kwanza ni
1. Rita Mlaki
2. Rita Mlaki
3. Rita Mlaki
4. Rita Mlaki
5. Rita Mlaki
6. Rita Mlaki
7. Rita Mlaki
8. Rita Mlaki
9. Rita Mlaki
10. Rita Mlaki
11. Rita Mlaki
...
...
..
..
..
n.k.
 
Ana atapeta japo mimi si mpiga kura, ombi la wenye damu ya mafisadi ni kuona Ana anaondoshwa, I wish wawe wanaota tu!!!
 
Wa Ubungo tatizo ni wana-Ubungo kupenda vikanga vya India, pilau na bia za takrima, vinginevyo alipaswa kuondoshwa kwa kasi kubwa.
 
Kwenye list namuongeza Fuya Kimbita wa Hai.

By the way, suala la kuwaondoa wabunge hovyo siyo la kuzungumza.
Tusipoteze muda na nafasi adimu ya kutumia sanduku la kura kubadili hali ya nchi for better.

Kura yako na yangu = USHINDI
 
Ongeza Ponsian Nyami, Mbunge wa Nkansi. Hakuonekana Bungeni kwa miaka 3 alipoenda kusoma akiwaacha wananchi bila Mwakilishi. Sheria zetu bwana... Toka arudi hana lo lote....
 

Wakuu woote mmeongea upupu!!
Mimi hapa napanga safu ya awamu ya 5
Raisi Edward Lowassa
Waziri Mkuu Nizar Karamagi
Waziri wa Viwanda Rostam Aziz
Waziri Mambo ya Nje Ibrahim Msabaha- Bangusile Orijino!
Waziri wa Sheria/Katiba Andy Chenge
Waiziri wa Serekali za Mitaa Ngombale Mwiru
Waziri Miundombinu Dr Mahanga
Waziri wa Ulinzi Dr Nchimbi
Waziri Mambo ya Ndani Mkuchika
Waziri wa Maji Nishati Basil Mramba
Waziri wa Ujenzi Daniel Yona

Naendelea kupanga listi itakayokuwa kali kuliko askari wa miamvuli wa miaka hiyo.
Wafuatao wakae mkao wa kusubiri kuitwa:
R Mlaki
M Mkulo
Mh Kapuya
H Ghasia

Zanzibar Mh A M Karume lazima aendelee!!
 
Dr Mzeru- Morogoro mjini
Shukuru Kawambwa
Ruth Owenya-viti maalumu
Selukamba Peter- Kigoma mjini (huyu ni mfuasi mzuri wa dini ya ufisadi)
 
Mzee Wassira kule Bunda lazima achape lapa tu (You might not believe it but take it from me!)
Charles Keenja -Ubungo
Rostam Aziz-Igunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…