Pre GE2025 Wasira ametudanganya. Samia Kajiteua mwenyewe akisaidiwa na Kikwete sababu hatujui wana CCM

Pre GE2025 Wasira ametudanganya. Samia Kajiteua mwenyewe akisaidiwa na Kikwete sababu hatujui wana CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nafahamu Lissu anakubalika sana kanda ya Ziwa , na mikoa ya Umasai Kilimanjaro, Arusha, Manyara hasa wafugaji
Huwaambii kitu watu wa mkoa wa Mara kwa Lissu, same as maeneo ya Usukumani kunako chimbwa dhahabu nako sio haba; aliharibu kidogo wakati wa Magufuli lakini suala la bandari likarudisha tena nyota yake kule, colabo yake na Heche sasa, daa ni balaa lingine tena kule.
 
Mtu anayemteua Wassira, Makal9la obvious hategemei kuomba kura za wananchi. Hawana ushawishi wowote nchini.

Samia kawageuza wanaCCM karibu wote kuwa machawa wasio na fikra huru au ujasiri wa kuwa na maoni, mitazamo tofauti.

Kazi yao ni kuu ni kuwa machawa, kusifu, kupongeza kila kinachotoka mdomoni mwa Samia hata akikosea. Mifano utaiona hata hapa JF. Wanakuja. WanaCCM karibu wote sasa hivi ni kama Mwijaku.
Ni kama nyumbu tu! Ambao hata wakimuona adui wenyewe huenda tu! Walienda wakiwa hawajui wanayeenda kumchagua, wamefika wanakutana na hoja ambayo muda wake ulikuwa bado! Wakaishia kupiga makofi tu na vigelegele kama wako kwenye sherehe ya harusi!
 
Huwaambii kitu watu wa mkoa wa Mara kwa Lissu, same as maeneo ya Usukumani kunako chimbwa dhahabu nako sio haba; aliharibu kidogo wakati wa Magufuli lakini suala la bandari likarudisha tena nyota yake kule, colabo yake na Heche sasa, daa ni balaa lingine tena kule.
WASIRA MZEE WA TANU CJIU ATASEMAJE
 
Hangaika na Saccos yako ya CDM ya CCM waachie CCM wenyewe, mkutano mkuu wa CCM ndio ulioamua na ndio wenye mandate.
neno "saccos" limepitwa na wakati. Jitahidi uendane na wakati mkuu.
 
Kwanza kabisa Mzee wetu Maarufu Mh. Makamo Mwenyekiti, Stephen Wassira Alimaarufu kama mzee wa Afro Shiraz Part na TANU, ametoa hotuba ambayo kimsingi baadhi ya vitu amedanganya ikiwemo suala la uteuzi wa Mgombea.

Kila mtu anajua na aliona kilichofanywa na Samia na Kikwete, Hao ndio watu walioteua Mgombea Urais, sasa inawapa kazi kubwa kujisafisha kwa hicho kilichofanyika.

Mimi nawaambia njia pekee ya kujisafisha ni kurudia uchaguzi na watu waruhusiwe kuchukua fomu then waje wagombea watatu tuchague mmoja wa kusimama October. Kama kweli Samia hana mpinzani na amefanya maajabu basi tutamchagua, Lakini nawaasa kuacha kabisa hicho wanachofanya kutetea uovu. Mzee wa Miaka 80 Kutetea UOVU c jambo zuri, bora ukae kimya au ukatae kazi hiyo.

Pia hotuba nyingi za Mzee wasira aka mzee wa AFRO SHIRAZ PART NA TANU hazina tofauti na hotuba za viongozi wa nchi miaka 60 baada ya Tanganyika kupata uhuru, hotuba zake hazendani na mlengo wa Kisasa.

Mzee wasirra amesema CCM ina reseve ya wapiga kura 12mil, kwahiyo kabla uchaguzi haujaanza tayari wana mil 12, hii ni Uongo, KURA ni siri, utasemaje una kura mil 12 wakati kura ni SIRI, Na kama ni kweli kwanini hamkuruhusu watu wachukue fomu wachague rais wanaemtaka.

Sasa Kuhusu kufanya maendeleo hilo ni muhimu lakini hata Bashiru angekuwa Rais , au hata Jokate hayo aliyofanya Samia wangefanya, sisi tunaangalia haki, na demokrasi na rushwa, hivi ndo vitu mtihani kuvitimiza, sasa mmekuwa kama Museven.

Pia tunajua mmebadilisha katiba ya CCM ili mahususi muwaondoe katika system watu wenu wenyewe ambao ni wabunge, na tetesi ni kuwa hamtaki wawe wabunge, kati ya hao watu 15 ambao hawatakiwi na CCM nawafahamu ni MPINA na MAKAMBA.
Kwanza kabisa hakuna mtu anaogopwa pale ccm kama nchimbi.
Ikumbukwe kuwa mchimbi baada ya magu kushinda alipelekwa nje kamabalozi (ili kumpunguza nguvu na ushawishi alionao maana nchimbi ni timu lowasa/rostam .
Na magu alimwogopa sana.
Mama alipokuja mteua chamani akampa kile cheo ili ashindwe kwenye kugombea nafasi yoyote maana tayRi cheo kile pale chamani ni kifungo.
Na mpaka juzi alipoteuliwa mgombea mwenza ni jitiada za kumbana bado maana ni tishio pale ccm.
Kama wakiruhusu wagombea nafari ya urais akachukua form tayari walijua mama wanamkabia kwenye kyra za maoni hilo alishtuka mapame ndio maana nafasi ya urais wakasema form ni moja tuu.
 
Kwanza kabisa hakuna mtu anaogopwa pale ccm kama nchimbi.
Ikumbukwe kuwa mchimbi baada ya magu kushinda alipelekwa nje kamabalozi (ili kumpunguza nguvu na ushawishi alionao maana nchimbi ni timu lowasa/rostam .
Na magu alimwogopa sana.
Mama alipokuja mteua chamani akampa kile cheo ili ashindwe kwenye kugombea nafasi yoyote maana tayRi cheo kile pale chamani ni kifungo.
Na mpaka juzi alipoteuliwa mgombea mwenza ni jitiada za kumbana bado maana ni tishio pale ccm.
Kama wakiruhusu wagombea nafari ya urais akachukua form tayari walijua mama wanamkabia kwenye kyra za maoni hilo alishtuka mapame ndio maana nafasi ya urais wakasema form ni moja tuu.
Kumbe ndivyo ujuavyo!!!
 
Kwanza kabisa Mzee wetu Maarufu Mh. Makamo Mwenyekiti, Stephen Wassira Alimaarufu kama mzee wa Afro Shiraz Part na TANU, ametoa hotuba ambayo kimsingi baadhi ya vitu amedanganya ikiwemo suala la uteuzi wa Mgombea.

Kila mtu anajua na aliona kilichofanywa na Samia na Kikwete, Hao ndio watu walioteua Mgombea Urais, sasa inawapa kazi kubwa kujisafisha kwa hicho kilichofanyika.

Mimi nawaambia njia pekee ya kujisafisha ni kurudia uchaguzi na watu waruhusiwe kuchukua fomu then waje wagombea watatu tuchague mmoja wa kusimama October. Kama kweli Samia hana mpinzani na amefanya maajabu basi tutamchagua, Lakini nawaasa kuacha kabisa hicho wanachofanya kutetea uovu. Mzee wa Miaka 80 Kutetea UOVU c jambo zuri, bora ukae kimya au ukatae kazi hiyo.

Pia hotuba nyingi za Mzee wasira aka mzee wa AFRO SHIRAZ PART NA TANU hazina tofauti na hotuba za viongozi wa nchi miaka 60 baada ya Tanganyika kupata uhuru, hotuba zake hazendani na mlengo wa Kisasa.

Mzee wasirra amesema CCM ina reseve ya wapiga kura 12mil, kwahiyo kabla uchaguzi haujaanza tayari wana mil 12, hii ni Uongo, KURA ni siri, utasemaje una kura mil 12 wakati kura ni SIRI, Na kama ni kweli kwanini hamkuruhusu watu wachukue fomu wachague rais wanaemtaka.

Sasa Kuhusu kufanya maendeleo hilo ni muhimu lakini hata Bashiru angekuwa Rais , au hata Jokate hayo aliyofanya Samia wangefanya, sisi tunaangalia haki, na demokrasi na rushwa, hivi ndo vitu mtihani kuvitimiza, sasa mmekuwa kama Museven.

Pia tunajua mmebadilisha katiba ya CCM ili mahususi muwaondoe katika system watu wenu wenyewe ambao ni wabunge, na tetesi ni kuwa hamtaki wawe wabunge, kati ya hao watu 15 ambao hawatakiwi na CCM nawafahamu ni MPINA na MAKAMBA.

Maza yuko radhi nchi ichafuke lakini Urais ubaki Kizimkazi. Anautaka kwa udi na uvumba.
 
Kumbe Samia alijiteua? October maumivu tuuuuu....asubiiri aone atavyopoteza majimbo la sivyo atazua fujo nchini sababu wizi kulazimisha wizi kura
 
Back
Top Bottom