Pre GE2025 Wasira ametudanganya. Samia Kajiteua mwenyewe akisaidiwa na Kikwete sababu hatujui wana CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nafahamu Lissu anakubalika sana kanda ya Ziwa , na mikoa ya Umasai Kilimanjaro, Arusha, Manyara hasa wafugaji
Huwaambii kitu watu wa mkoa wa Mara kwa Lissu, same as maeneo ya Usukumani kunako chimbwa dhahabu nako sio haba; aliharibu kidogo wakati wa Magufuli lakini suala la bandari likarudisha tena nyota yake kule, colabo yake na Heche sasa, daa ni balaa lingine tena kule.
 
Ni kama nyumbu tu! Ambao hata wakimuona adui wenyewe huenda tu! Walienda wakiwa hawajui wanayeenda kumchagua, wamefika wanakutana na hoja ambayo muda wake ulikuwa bado! Wakaishia kupiga makofi tu na vigelegele kama wako kwenye sherehe ya harusi!
 
WASIRA MZEE WA TANU CJIU ATASEMAJE
 
Hangaika na Saccos yako ya CDM ya CCM waachie CCM wenyewe, mkutano mkuu wa CCM ndio ulioamua na ndio wenye mandate.
neno "saccos" limepitwa na wakati. Jitahidi uendane na wakati mkuu.
 
Kwanza kabisa hakuna mtu anaogopwa pale ccm kama nchimbi.
Ikumbukwe kuwa mchimbi baada ya magu kushinda alipelekwa nje kamabalozi (ili kumpunguza nguvu na ushawishi alionao maana nchimbi ni timu lowasa/rostam .
Na magu alimwogopa sana.
Mama alipokuja mteua chamani akampa kile cheo ili ashindwe kwenye kugombea nafasi yoyote maana tayRi cheo kile pale chamani ni kifungo.
Na mpaka juzi alipoteuliwa mgombea mwenza ni jitiada za kumbana bado maana ni tishio pale ccm.
Kama wakiruhusu wagombea nafari ya urais akachukua form tayari walijua mama wanamkabia kwenye kyra za maoni hilo alishtuka mapame ndio maana nafasi ya urais wakasema form ni moja tuu.
 
Kumbe ndivyo ujuavyo!!!
 


Maza yuko radhi nchi ichafuke lakini Urais ubaki Kizimkazi. Anautaka kwa udi na uvumba.
 
Kumbe Samia alijiteua? October maumivu tuuuuu....asubiiri aone atavyopoteza majimbo la sivyo atazua fujo nchini sababu wizi kulazimisha wizi kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…