Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
"Lissu sio size ya Rais, Lissu ni mdogo na Rais ni mtu mzito sana. Niliwahi kufanya majadiliano na Lissu pale Blue Pearl Dar es salaam yeye akiwa na Lipumba mwisho akaishia kukimbia. Kama anataka aje afanye Mdahalo na mimi, najua hawezi ataishia kukimbia tu"
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
"Lissu sio size ya Rais, Lissu ni mdogo na Rais ni mtu mzito sana. Niliwahi kufanya majadiliano na Lissu pale Blue Pearl Dar es salaam yeye akiwa na Lipumba mwisho akaishia kukimbia. Kama anataka aje afanye Mdahalo na mimi, najua hawezi ataishia kukimbia tu"