Pre GE2025 Wasira: Lissu aje, tufanye Mdahalo halafu Watanzania waamue, adai CHADEMA kwasasa imekatika

Pre GE2025 Wasira: Lissu aje, tufanye Mdahalo halafu Watanzania waamue, adai CHADEMA kwasasa imekatika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mdahalo wa Mwenyekiti wa Chadema vs Makamu Mwenyekiti wa CCM hii ni sawa au mmoja ataonewa hapa

Mdahalo siyo ngumi kwamba ukizidiwa unang'ata sikio

Nimekaa pale 🐼
 
Nimeandika ,,nikafuta ,nimeandika tena nikafuta.

Ila mzee wangemuacha tu apumzike , hizi mbilinge mbilinge hazimfai kwa umri wake
Yaani mtu ambaye hata kuvaa koti hajui eti ni makamu mwenyekiti!! Wonders shall never end.
 
Wakuu

Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?

Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.

"Lissu sio size ya Rais, Lissu ni mdogo na Rais ni mtu mzito sana. Niliwahi kufanya majadiliano na Lissu pale Blue Pearl Dar es salaam yeye akiwa na Lipumba mwisho akaishia kukimbia. Kama anataka aje afanye Mdahalo na mimi, najua hawezi ataishia kukimbia tu"

CCM wanakwambia CHADEMA imekufa lakini kutwa wanaitaja huwezi sikia wanaitaja ACT wala CUF
 
Back
Top Bottom