Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Daaaaa tezi dumeee hapo ni kojoo la kizeeeee babuu weeeeeZinja kauchapa sijui kama hakumwaga madenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaa tezi dumeee hapo ni kojoo la kizeeeee babuu weeeeeZinja kauchapa sijui kama hakumwaga madenda.
Wassira VS Wenje????Wakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Yaani mtu ambaye hata kuvaa koti hajui eti ni makamu mwenyekiti!! Wonders shall never end.Nimeandika ,,nikafuta ,nimeandika tena nikafuta.
Ila mzee wangemuacha tu apumzike , hizi mbilinge mbilinge hazimfai kwa umri wake
CCM wanakwambia CHADEMA imekufa lakini kutwa wanaitaja huwezi sikia wanaitaja ACT wala CUFWakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
"Lissu sio size ya Rais, Lissu ni mdogo na Rais ni mtu mzito sana. Niliwahi kufanya majadiliano na Lissu pale Blue Pearl Dar es salaam yeye akiwa na Lipumba mwisho akaishia kukimbia. Kama anataka aje afanye Mdahalo na mimi, najua hawezi ataishia kukimbia tu"
SureMkt wa Baraza la wazee CHADEMA ndio size ya Wasira,
Lissu ampuuze isijekuwa murder case!
Huna akili, huwezi shindanisha watu wasiofanana vigezo.Wakafanye mdahalo wa sera zao