Mister mimi
Member
- Apr 29, 2018
- 89
- 106
Kukashifu ni dalili ya kushindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maswali si ukamuulize huyo babu yako?Kwanza mdahalo kuhusu nini? Na Kwa nini yeye amejiteua kufanya mdahalo na Lissu?
Huo mdahalo lengo lake ni nini, Halafu wananchi wataamua kwa kutumia kigezo gani na hayo maamuzi yatapimwaje?
Mbona Lisu aliomba mdahalo na Mbowe kwani yeye ni saizi yake?Anamtaka Lisu yeye kama nani? Aombe mjahalo na Heche!!
Lisu mpira huo katupiwaItapendeza sanaaaaaaa
Lissu akubali umuone... inaonekana Mzee nae ana maneno maana yupo tayari 😂😂😂 supaaaaa
Kazi iendeleeeee...
🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Lisu sio size ya huyo mzee.Itapendeza sanaaaaaaa
Lissu akubali umuone... inaonekana Mzee nae ana maneno maana yupo tayari 😂😂😂 supaaaaa
Kazi iendeleeeee...
🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️
Gongo na uzee vikichanganyika usingizi na ndoto za mchana ni lazima
Not ushawishi mzee.Sasa Wasira ana ushawishi gani kanda ya ziwa?
Mimi binafsi sioni ushawishi wake unless kuna kanda ya ziwa nyingine tofauti na hii niliyopo
Kwani Lisu anagombea nini na huyo mzee?Mbona Lisu aliomba mdahalo na Mbowe kwani yeye ni saizi yake?
Wakafanye mdahalo wa sera zaoKwani Lisu anagombea nini na huyo mzee?
Mdaharo kuhusu nini?Lisu mpira huo katupiwa
Wasafi itisheni mdahalo tuone nani atakimbia huo mdahalo
Sera za vyama.vyaoMdaharo kuhusu nini?
Huyu level yake ni advacote Mahinyila wa bavichaWakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Zaidi ya matusi Lisu ana nini cha ziada? Hamna kitu kichwaniLisu sio size ya huyo mzee.
Porojo za huyo mzee akawapotezee muda machawa wa samia huko ccm
Lissu kazoea matusi kwa mbowe. Aende kwa wasira tuone kama lissu hataibikaWakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Wanamsababishia RIP ya mapema kwa sababu ya kumbandika kazi ngumu kuliko uwezo wa umri wakeHuu utani wa huyu dingi ni clear offside
angepumzishwa umri umeenda sana!
Nimeshauri mara nyingi, mzee angepumzika tu siasa... Umri hauruhusu... Sasa angalia anamtaka Lissu badala ya Heche ambae ndio saizi yake mzee wangu huyu...Wakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342