Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kwani anagombea wasira? Anaposema kuwa watanzania wafanye maamuzi katika uchagu ujao, kwani anagombea lisu na wasira? Mbona kama huyu mzee kaanguka mdahalo hata kabla hawajaingia ulingoni?Wakuu
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Zinja kauchapa sijui kama hakumwaga madenda.Aibuuuuuuu
Ataumbuliwa saa 1:00 asubuhiWakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Hata hivyo, jamaa ni chuma cha pua. Majority ya wazee wa umri wake wamebaki na akili inayolingana na ya mtoto wa miaka 6!Nimeandika ,,nikafuta ,nimeandika tena nikafuta.
Ila mzee wangemuacha tu apumzike , hizi mbilinge mbilinge hazimfai kwa umri wake
Lifestyle... Hao unanaosema wamebakia na akili za mtoto wa miaka 6, maisha yamewapiga.Hata hivyo, jamaa ni chuma cha pua. Majority ya wazee wa umri wake wamebaki na akili inayolingana na ya mtoto wa miaka 6!
Wamuache na wanazipigia hesabu kura za Kanda ya ziwa!!??Nimeandika ,,nikafuta ,nimeandika tena nikafuta.
Ila mzee wangemuacha tu apumzike , hizi mbilinge mbilinge hazimfai kwa umri wake
Huyu mzee kikongwe anataka umaarufu kupitia Lisu, apuuzwe tu.Wakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Anamtaka Lisu yeye kama nani? Aombe mjahalo na Heche!!Wakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
HUyo babu hana hadhi ya kufanya mdahalo na lisu wamlete hangaya wasira tutampa sugu au ntobi achuane nayeWakuu
Nani awe Mwamuzi wa mnyukano huu?
Mzee Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, amemwita mezani Tundu Lissu kufanya mdahalo ili Watanzania waweze kutoa maoni yao na kufanya maamuzi bora katika uchaguzi ujao.
View attachment 3225342
Sasa Wasira ana ushawishi gani kanda ya ziwa?Wamuache na wanazipigia hesabu kura za Kanda ya ziwa!!??