Pre GE2025 Wasira: Othman, Lissu wasitafute mchawi kuzuiwa kuingia Angola. Serikali haisimamii Uwanja wa Angola

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu mnamshambulia Mzee Wasira bila hoja kama vile wendawazimu. Hao waliozuiliwa warudi wajipange sio kulalamikia serikali ya Tanzania. Serikali ya CCM haihusiki na mambo ya Angola.
 
Watu mnamshambulia Mzee Wasira bila hoja kama vile wendawazimu. Hao waliozuiliwa warudi wajipange sio kulalamikia serikali ya Tanzania. Serikali ya CCM haihusiki na mambo ya Angola.
Wewe wanaume wakiongea chukua kopo ukaipige maji kwanza.
 
Na Lissu ni nani?? Msisafirie nyota ya Makamu wa Kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…