Wasiwadanganye kwa picha wanazotupia mtandaoni, Watanzania waliokuja Qatar kwa ajili Kombe la Dunia wengi wanaishi kwa shida sana

Wasiwadanganye kwa picha wanazotupia mtandaoni, Watanzania waliokuja Qatar kwa ajili Kombe la Dunia wengi wanaishi kwa shida sana

Andiko zuri sana, habari za indilimunyu lakini, mmeshaletewa umeme wa grid?
 
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.

Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia kwa ajili ya kuangalia Hotels nzuri zenye hadhi ya 5 star kila ninapoenda ananipatia list na anafanya bookings kabisa.

Nlikaa Hotel moja na Germans nikawahama walinikwaza na hbr zao za kutaka zungumzia ushoga. Nikakaa Hotel nyingine na Morocco nao nikaona hawana ustaarabu wana makelele sana na mambo mambo mengine.

Ila kitu flani nimekiona kuna watanzania wapo huku... Wanaishi ktk mazingira magumu sana. Watu wanakula milo 3 kwa siku tena sehemu za hovyo tu. Ila wanajipost sana kwenye mitandao. Kuna wawili walinifuata wakitaka niwaalike waje Hotel nliyopo wapige picha. Nilikataa maana mimi huwa sipendi kujionesha kuwa pesa ipo.

Nliwapa pesa tu wakakae Hotel ya 5 star. Hawakwenda wale jamaa. Wakazitumiaje sijui zile pesa. Nakuja ambiwa bado wanaishi Hotel zile zile za bei ya chini. Na kula kwao ni kwa shida sana. Ila wanajipost sana mitandaoni.

Siku nimekutana na Ronaldo hotel nliyokuwepo alinishangaa sana. Nlikuwa the only black in the hotel halafu nimezungukwa na watoto wa Kilatino kama 8 hivi wakibembeleza kupata namba yangu. Ronaldo alijipitisha pitisha mara mbili wamuone. Hata hawakuwa na habari naye.

Akaamua kuja kusalimia na kujitambulisha " Hey i am christian ronaldo" nikamjibu " i am bill lugano nice to know you"

Basi tukamwona ronaldo amesimama tu anashangaa shangaa na wale wadada wapo busy nami ile mbaya. Baadaye akaamua kuondoka.

Ile siku Messi anakosa penalty usiku wake kabla ya siku yenyewe alikuja room (suit) yangu akanikuta nimezungukwa na wadada wa kiarabu na kilatino. Alishangaa sana. Akaomba kuspend sometime nasi akitaka kujua mi ni nani.

Maana hbr zangu zilizagaa sana kuwa kuna bwana mdogo mmoja anaishi kifahari sana hapa Doha Qatar. Messi aliwekeana appointment na demu mmoja wa kiarabu. Hata wakati ule anapiga penalty anasema akili yake haikuwepo pale. Alikuwa anawaza game iishe awahi kwenda spend na yule bint.

Nlijichojifunza watu wengi wanaishi maisha fake sana hasa hawa watu wenu toka TZ? Mapicha picha mengi wanagongea tu kwa watu. Sisi ambao tuna pesa tupo simple sana. Mi ukinicheck tu uso na ngozi unajua huyu jamaa si wa sayari hii. Nimenawiri sana. Si unajua mtu akila mlo kamili kila siku. Siyo nyie mnakula msife.

Sisi wengine tunaishi ili tule vizuri...ndo maana hata hatuoni haja ya kupiga picha wakati wa kula na kupost.

Mi nakwambia nikikuazima uishi maisha yangu ndani ya saa moja tu. Utapiga picha hata wakati unajisaidia haja kubwa ukapost. Watu waone unajisaidia sehemu executive.yaani hamna sekunde wewe hutapiga picha uje chukulia mademu. Kila sekunde utapiga picha.

Tafuteni pesa muache kuishi kwa show off na maigizo sisi wenye pesa tunafanya kweli ndo tunaishi hivyo.
Tutajie basi majina ya hizo hotel ulizohama na ikawaje ukata wabongo wenzio waje kupiga picha matokeo yake ukawapa hela wakale nyota Tano. Ndugu wahi tiba ya afya ya akili.
 
Huyu memba nahic ni mnoa visu mtaani kwake hapo kwa kutumia zile baiskeli...hamna mwandiko wa tajir anaejielewa anajisifia ujinga hivi
 
Maabako...
Kuanzia leo, nimekutoa kwenye JF FORBES rich list...
, kumbe unakikorosho, wakati huo utajiri wa kimtandao wenyewe ni sisi tumekutunuku wazee wa kutoa "like".....
 
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.

Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia kwa ajili ya kuangalia Hotels nzuri zenye hadhi ya 5 star kila ninapoenda ananipatia list na anafanya bookings kabisa.

Nlikaa Hotel moja na Germans nikawahama walinikwaza na hbr zao za kutaka zungumzia ushoga. Nikakaa Hotel nyingine na Morocco nao nikaona hawana ustaarabu wana makelele sana na mambo mambo mengine.

Ila kitu flani nimekiona kuna watanzania wapo huku... Wanaishi ktk mazingira magumu sana. Watu wanakula milo 3 kwa siku tena sehemu za hovyo tu. Ila wanajipost sana kwenye mitandao. Kuna wawili walinifuata wakitaka niwaalike waje Hotel nliyopo wapige picha. Nilikataa maana mimi huwa sipendi kujionesha kuwa pesa ipo.

Nliwapa pesa tu wakakae Hotel ya 5 star. Hawakwenda wale jamaa. Wakazitumiaje sijui zile pesa. Nakuja ambiwa bado wanaishi Hotel zile zile za bei ya chini. Na kula kwao ni kwa shida sana. Ila wanajipost sana mitandaoni.

Siku nimekutana na Ronaldo hotel nliyokuwepo alinishangaa sana. Nlikuwa the only black in the hotel halafu nimezungukwa na watoto wa Kilatino kama 8 hivi wakibembeleza kupata namba yangu. Ronaldo alijipitisha pitisha mara mbili wamuone. Hata hawakuwa na habari naye.

Akaamua kuja kusalimia na kujitambulisha " Hey i am christian ronaldo" nikamjibu " i am bill lugano nice to know you"

Basi tukamwona ronaldo amesimama tu anashangaa shangaa na wale wadada wapo busy nami ile mbaya. Baadaye akaamua kuondoka.

Ile siku Messi anakosa penalty usiku wake kabla ya siku yenyewe alikuja room (suit) yangu akanikuta nimezungukwa na wadada wa kiarabu na kilatino. Alishangaa sana. Akaomba kuspend sometime nasi akitaka kujua mi ni nani.

Maana hbr zangu zilizagaa sana kuwa kuna bwana mdogo mmoja anaishi kifahari sana hapa Doha Qatar. Messi aliwekeana appointment na demu mmoja wa kiarabu. Hata wakati ule anapiga penalty anasema akili yake haikuwepo pale. Alikuwa anawaza game iishe awahi kwenda spend na yule bint.

Nlijichojifunza watu wengi wanaishi maisha fake sana hasa hawa watu wenu toka TZ? Mapicha picha mengi wanagongea tu kwa watu. Sisi ambao tuna pesa tupo simple sana. Mi ukinicheck tu uso na ngozi unajua huyu jamaa si wa sayari hii. Nimenawiri sana. Si unajua mtu akila mlo kamili kila siku. Siyo nyie mnakula msife.

Sisi wengine tunaishi ili tule vizuri...ndo maana hata hatuoni haja ya kupiga picha wakati wa kula na kupost.

Mi nakwambia nikikuazima uishi maisha yangu ndani ya saa moja tu. Utapiga picha hata wakati unajisaidia haja kubwa ukapost. Watu waone unajisaidia sehemu executive.yaani hamna sekunde wewe hutapiga picha uje chukulia mademu. Kila sekunde utapiga picha.

Tafuteni pesa muache kuishi kwa show off na maigizo sisi wenye pesa tunafanya kweli ndo tunaishi hivyo.
Unaota wewe
 
Watu wamepaniki tayari..

Wabongo bana..
Watu wana stress sana nashangaa wanachopaniki...

Binafsi jamaa ana ni inspire sana kutafuta pesa anachosema ndivo watu wenye pesa wanavyoishi...

Ukiwa na pesa huwez shindwa kwenda Ibiza ukakutana na Messi mkapiga stori...

Tutafute hela wakuu

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Upuuuzi tuh story ya kujitungia kabisa an alaf upo hapa hap TZ una ng'aa macho
 
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.

Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia kwa ajili ya kuangalia Hotels nzuri zenye hadhi ya 5 star kila ninapoenda ananipatia list na anafanya bookings kabisa.

Nlikaa Hotel moja na Germans nikawahama walinikwaza na hbr zao za kutaka zungumzia ushoga. Nikakaa Hotel nyingine na Morocco nao nikaona hawana ustaarabu wana makelele sana na mambo mambo mengine.

Ila kitu flani nimekiona kuna watanzania wapo huku... Wanaishi ktk mazingira magumu sana. Watu wanakula milo 3 kwa siku tena sehemu za hovyo tu. Ila wanajipost sana kwenye mitandao. Kuna wawili walinifuata wakitaka niwaalike waje Hotel nliyopo wapige picha. Nilikataa maana mimi huwa sipendi kujionesha kuwa pesa ipo.

Nliwapa pesa tu wakakae Hotel ya 5 star. Hawakwenda wale jamaa. Wakazitumiaje sijui zile pesa. Nakuja ambiwa bado wanaishi Hotel zile zile za bei ya chini. Na kula kwao ni kwa shida sana. Ila wanajipost sana mitandaoni.

Siku nimekutana na Ronaldo hotel nliyokuwepo alinishangaa sana. Nlikuwa the only black in the hotel halafu nimezungukwa na watoto wa Kilatino kama 8 hivi wakibembeleza kupata namba yangu. Ronaldo alijipitisha pitisha mara mbili wamuone. Hata hawakuwa na habari naye.

Akaamua kuja kusalimia na kujitambulisha " Hey i am christian ronaldo" nikamjibu " i am bill lugano nice to know you"

Basi tukamwona ronaldo amesimama tu anashangaa shangaa na wale wadada wapo busy nami ile mbaya. Baadaye akaamua kuondoka.

Ile siku Messi anakosa penalty usiku wake kabla ya siku yenyewe alikuja room (suit) yangu akanikuta nimezungukwa na wadada wa kiarabu na kilatino. Alishangaa sana. Akaomba kuspend sometime nasi akitaka kujua mi ni nani.

Maana hbr zangu zilizagaa sana kuwa kuna bwana mdogo mmoja anaishi kifahari sana hapa Doha Qatar. Messi aliwekeana appointment na demu mmoja wa kiarabu. Hata wakati ule anapiga penalty anasema akili yake haikuwepo pale. Alikuwa anawaza game iishe awahi kwenda spend na yule bint.

Nlijichojifunza watu wengi wanaishi maisha fake sana hasa hawa watu wenu toka TZ? Mapicha picha mengi wanagongea tu kwa watu. Sisi ambao tuna pesa tupo simple sana. Mi ukinicheck tu uso na ngozi unajua huyu jamaa si wa sayari hii. Nimenawiri sana. Si unajua mtu akila mlo kamili kila siku. Siyo nyie mnakula msife.

Sisi wengine tunaishi ili tule vizuri...ndo maana hata hatuoni haja ya kupiga picha wakati wa kula na kupost.

Mi nakwambia nikikuazima uishi maisha yangu ndani ya saa moja tu. Utapiga picha hata wakati unajisaidia haja kubwa ukapost. Watu waone unajisaidia sehemu executive.yaani hamna sekunde wewe hutapiga picha uje chukulia mademu. Kila sekunde utapiga picha.

Tafuteni pesa muache kuishi kwa show off na maigizo sisi wenye pesa tunafanya kweli ndo tunaishi hivyo.
Tafuta pesa
 
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.

Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia kwa ajili ya kuangalia Hotels nzuri zenye hadhi ya 5 star kila ninapoenda ananipatia list na anafanya bookings kabisa.

Nlikaa Hotel moja na Germans nikawahama walinikwaza na hbr zao za kutaka zungumzia ushoga. Nikakaa Hotel nyingine na Morocco nao nikaona hawana ustaarabu wana makelele sana na mambo mambo mengine.

Ila kitu flani nimekiona kuna watanzania wapo huku... Wanaishi ktk mazingira magumu sana. Watu wanakula milo 3 kwa siku tena sehemu za hovyo tu. Ila wanajipost sana kwenye mitandao. Kuna wawili walinifuata wakitaka niwaalike waje Hotel nliyopo wapige picha. Nilikataa maana mimi huwa sipendi kujionesha kuwa pesa ipo.

Nliwapa pesa tu wakakae Hotel ya 5 star. Hawakwenda wale jamaa. Wakazitumiaje sijui zile pesa. Nakuja ambiwa bado wanaishi Hotel zile zile za bei ya chini. Na kula kwao ni kwa shida sana. Ila wanajipost sana mitandaoni.

Siku nimekutana na Ronaldo hotel nliyokuwepo alinishangaa sana. Nlikuwa the only black in the hotel halafu nimezungukwa na watoto wa Kilatino kama 8 hivi wakibembeleza kupata namba yangu. Ronaldo alijipitisha pitisha mara mbili wamuone. Hata hawakuwa na habari naye.

Akaamua kuja kusalimia na kujitambulisha " Hey i am christian ronaldo" nikamjibu " i am bill lugano nice to know you"

Basi tukamwona ronaldo amesimama tu anashangaa shangaa na wale wadada wapo busy nami ile mbaya. Baadaye akaamua kuondoka.

Ile siku Messi anakosa penalty usiku wake kabla ya siku yenyewe alikuja room (suit) yangu akanikuta nimezungukwa na wadada wa kiarabu na kilatino. Alishangaa sana. Akaomba kuspend sometime nasi akitaka kujua mi ni nani.

Maana hbr zangu zilizagaa sana kuwa kuna bwana mdogo mmoja anaishi kifahari sana hapa Doha Qatar. Messi aliwekeana appointment na demu mmoja wa kiarabu. Hata wakati ule anapiga penalty anasema akili yake haikuwepo pale. Alikuwa anawaza game iishe awahi kwenda spend na yule bint.

Nlijichojifunza watu wengi wanaishi maisha fake sana hasa hawa watu wenu toka TZ? Mapicha picha mengi wanagongea tu kwa watu. Sisi ambao tuna pesa tupo simple sana. Mi ukinicheck tu uso na ngozi unajua huyu jamaa si wa sayari hii. Nimenawiri sana. Si unajua mtu akila mlo kamili kila siku. Siyo nyie mnakula msife.

Sisi wengine tunaishi ili tule vizuri...ndo maana hata hatuoni haja ya kupiga picha wakati wa kula na kupost.

Mi nakwambia nikikuazima uishi maisha yangu ndani ya saa moja tu. Utapiga picha hata wakati unajisaidia haja kubwa ukapost. Watu waone unajisaidia sehemu executive.yaani hamna sekunde wewe hutapiga picha uje chukulia mademu. Kila sekunde utapiga picha.

Tafuteni pesa muache kuishi kwa show off na maigizo sisi wenye pesa tunafanya kweli ndo tunaishi hivyo.
Chai,
Kumbe uko zako Mbagala Charambe
 
Back
Top Bottom