Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Lakini mbaya maana Kwa wasioweza kupata hiyo pesa watakuwa wanaangalia ndugu yao anakufa live kabisaIkibidi natoa sababu kuna binadamu kama wanyama;
Nilikua na mgonjwa aliyepewa sumu, private hospital wakatupa transfer twende hospital flani kubwa ya serikali, kufika pale wakasema mgonjwa utumbo umeshaanza kuoza itabidi apate OP awekewe kipande cha utumbo wa plastic gharama 700k tukatoa
Siku 3 wanazunguka hadi mgonjwa anaanza kutoa wosia anasema anakufa ilibidi tuwakalipie madr kwanini awamfanyii hiyo OP, mmoja akasema tunamfanyiaje mtu OP tukiwa na njaa
400k ilitutoka mgonjwa akapata matibabu akapona
Tusingetoa hiyo hongo je? Tungempoteza! kuna Mazingira mtu anakubana unajikuta huna budi kutoa!!
Ungejibu hapana ungepungukiwa nini? Kuuliza sio ujinga ni sehemu ya kutaka kupata maarifa mapya, hata Mahakamani lazima ungeulizwa swali km hilo vipi ungemuita wakili anaekuuliza swali tatanishi kwa kusema kumbe humu Mahakamani mnaajiri mawakili vichaa?Ulifikiria kabla ya kuniambia hivi?
Sijapenda hata kidogo, Unaonesha jinsi gani unakosa adabu kuongea huu upuuziii
Kumbe humu kuna watu ni vichaa na sio kila mtu ni sahihi kureply comment zake
Mzee wa kiislamu!?
Halafu wewe ndio uliniletea video ujue? 🤣🤣🤣swahiba wangu mwabulambo ameyatimba safari hii.
naona 2023 inaisha vibaya kwa baadhi ya wadau wa sector ya media
leo nikiwa viunga vya azamtv tabata nilipishana na bibie sophia mgaza, uso wake ulikuwa umejaa unyonge sana mpaka nikamuonea huruma.
ifahamike tu kwa sasa azam media ipo chini ya uongozi wa kijana machachari patrick kahemele baada ya mzee tido mhando kujiandaa kustaafu mwishoni mwa mwaka huu.
kwa maana hiyo sidhani kama patrick ataacha hili lipite hivihivi bila kuwawajibisha wanaotuhumiwa. mda ni rafiki mzuri, tusubiri kuona kile kitakachojiri.
Basi mwenyewe unajiona kama Mange hivi au Kigogo kwa kuwasagia kunguni wenzio. Wakijinyonga tunakutafuta.😀😃😄😁😆😅🤣😂Halafu wewe ndio uliniletea video ujue? 🤣🤣🤣
Kujinyonga kwa lipi?Basi mwenyewe unajiona kama Mange hivi au Kigogo kwa kuwasagia kunguni wenzio. Wakijinyonga tunakutafuta.😀😃😄😁😆😅🤣😂
Hapana Mkuu, sijasagia mtu kunguni. Nimeripoti suala ambalo lipo, sijaongeza chochote!Basi mwenyewe unajiona kama Mange hivi au Kigogo kwa kuwasagia kunguni wenzio. Wakijinyonga tunakutafuta.😀😃😄😁😆😅🤣😂
😀😃😄😁😆😅🤣Hapana Mkuu, sijasagia mtu kunguni. Nimeripoti suala ambalo lipo, sijaongeza chochote!
Ni katika kuuhabarisha umma tu kile kinachoendelea.
Msaga kunguni ni Isike Samweli, na alizisagaa kwelikweli.
Huyo jamaa aliyeniletea video, mwanzoni alileta malalamiko ya kinachoendelea Azam TV, nikamkatalia kwa kutaka ushahidi, ndio akaniletea hiyo video.
Ningekuwa hivyo ulivyosema kusaga kunguni si ningeruka nayo bila ushahidi? Na sijaiongelea Azam Tv bado, pengine nikipata ushahidi wa kutosha naweza kufanya hivyo.
Ukimaliza Azam TV hamia na StarTimes,.Na sijaiongelea Azam Tv bado, pengine nikipata ushahidi wa kutosha naweza kufanya hivyo.
Kama yeye alitoa hiyo 800k ili filamu yake ipitishwe badi nae ni mchafu tu kama hao anaowashutumu.
Hivi ilikuwa muhimu kuandika hivi mzee?Kwa hio hapo km angetaka Mambo fulani bimkubwa wenu awape vipi mngemruhusu awatunuku?
Swali la kichokozi mkuu, rushwa sio Pesa tu hujasoma story nzima ilivyo au kuna rushwa ya Pesa na pia kuna rushwa ya ngono, haujui wezombi?Hivi ilikuwa muhimu kuandika hivi mzee?
Haa Watatajwa Wote Mpaka AibuKumekucha 😂😂😂
Kituo kinachofuata Star times
Dah ,sasa km wasi kahusika boss wake je yule mdada Tina inakuaje? PK anakaziswahiba wangu mwabulambo ameyatimba safari hii.
naona 2023 inaisha vibaya kwa baadhi ya wadau wa sector ya media
leo nikiwa viunga vya azamtv tabata nilipishana na bibie sophia mgaza, uso wake ulikuwa umejaa unyonge sana mpaka nikamuonea huruma.
ifahamike tu kwa sasa azam media ipo chini ya uongozi wa kijana machachari patrick kahemele baada ya mzee tido mhando kujiandaa kustaafu mwishoni mwa mwaka huu.
kwa maana hiyo sidhani kama patrick ataacha hili lipite hivihivi bila kuwawajibisha wanaotuhumiwa. mda ni rafiki mzuri, tusubiri kuona kile kitakachojiri.
Star times wana nafuu ,ngoma ilikua hapo azam na dstvKumekucha 😂😂😂
Kituo kinachofuata Star times
Mhaya yule namjua vzr tuPatrick Kahemele sio mrundi huyu bwana?