Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

kwetu sisi ambao tumefanya kazi na waandishi mara kadhaa, tunajua hakuna mwandishi wa habari asiyependa rushwa au tips. wanapenda tips utafikiri mabaamed wanaodanga, na ukienda nao vibaya wanaweza kurusha habari inayoweza kuumiza maisha yako yote. ila shida ni kwamba vituo vyao vya kazi wanawapa mshahara mdogo sana jambo linalowafanya wao wenyewe waishi kiajabu. imagine ukimwambia kuna tukio, wewe ndio unagarimia kuanzia mafuta ya gari yake hadi perdiem yake na mwisho wa siku yeye ndio anaonekana ametafuta habari na pengine hela ya kutafutia habari alikuwa nayo.
 
Ikibidi natoa sababu kuna binadamu kama wanyama;
Nilikua na mgonjwa aliyepewa sumu, private hospital wakatupa transfer twende hospital flani kubwa ya serikali, kufika pale wakasema mgonjwa utumbo umeshaanza kuoza itabidi apate OP awekewe kipande cha utumbo wa plastic gharama 700k tukatoa
Siku 3 wanazunguka hadi mgonjwa anaanza kutoa wosia anasema anakufa ilibidi tuwakalipie madr kwanini awamfanyii hiyo OP, mmoja akasema tunamfanyiaje mtu OP tukiwa na njaa
400k ilitutoka mgonjwa akapata matibabu akapona
Tusingetoa hiyo hongo je? Tungempoteza! kuna Mazingira mtu anakubana unajikuta huna budi kutoa!!
Sawa. Lakini mbaya maana Kwa wasioweza kupata hiyo pesa watakuwa wanaangalia ndugu yao anakufa live kabisa
 
Ulifikiria kabla ya kuniambia hivi?
Sijapenda hata kidogo, Unaonesha jinsi gani unakosa adabu kuongea huu upuuziii
Kumbe humu kuna watu ni vichaa na sio kila mtu ni sahihi kureply comment zake
Ungejibu hapana ungepungukiwa nini? Kuuliza sio ujinga ni sehemu ya kutaka kupata maarifa mapya, hata Mahakamani lazima ungeulizwa swali km hilo vipi ungemuita wakili anaekuuliza swali tatanishi kwa kusema kumbe humu Mahakamani mnaajiri mawakili vichaa?
 
swahiba wangu mwabulambo ameyatimba safari hii.

naona 2023 inaisha vibaya kwa baadhi ya wadau wa sector ya media

leo nikiwa viunga vya azamtv tabata nilipishana na bibie sophia mgaza, uso wake ulikuwa umejaa unyonge sana mpaka nikamuonea huruma.

ifahamike tu kwa sasa azam media ipo chini ya uongozi wa kijana machachari patrick kahemele baada ya mzee tido mhando kujiandaa kustaafu mwishoni mwa mwaka huu.

kwa maana hiyo sidhani kama patrick ataacha hili lipite hivihivi bila kuwawajibisha wanaotuhumiwa. mda ni rafiki mzuri, tusubiri kuona kile kitakachojiri.
Halafu wewe ndio uliniletea video ujue? 🤣🤣🤣
 
Basi mwenyewe unajiona kama Mange hivi au Kigogo kwa kuwasagia kunguni wenzio. Wakijinyonga tunakutafuta.😀😃😄😁😆😅🤣😂
Hapana Mkuu, sijasagia mtu kunguni. Nimeripoti suala ambalo lipo, sijaongeza chochote!
Ni katika kuuhabarisha umma tu kile kinachoendelea.
Msaga kunguni ni Isike Samweli, na alizisagaa kwelikweli.

Huyo jamaa aliyeniletea video, mwanzoni alileta malalamiko ya kinachoendelea Azam TV, nikamkatalia kwa kutaka ushahidi, ndio akaniletea hiyo video.

Ningekuwa hivyo ulivyosema kusaga kunguni si ningeruka nayo bila ushahidi? Na sijaiongelea Azam Tv bado, pengine nikipata ushahidi wa kutosha naweza kufanya hivyo.
 
Hapana Mkuu, sijasagia mtu kunguni. Nimeripoti suala ambalo lipo, sijaongeza chochote!
Ni katika kuuhabarisha umma tu kile kinachoendelea.
Msaga kunguni ni Isike Samweli, na alizisagaa kwelikweli.

Huyo jamaa aliyeniletea video, mwanzoni alileta malalamiko ya kinachoendelea Azam TV, nikamkatalia kwa kutaka ushahidi, ndio akaniletea hiyo video.

Ningekuwa hivyo ulivyosema kusaga kunguni si ningeruka nayo bila ushahidi? Na sijaiongelea Azam Tv bado, pengine nikipata ushahidi wa kutosha naweza kufanya hivyo.
😀😃😄😁😆😅🤣
 
swahiba wangu mwabulambo ameyatimba safari hii.

naona 2023 inaisha vibaya kwa baadhi ya wadau wa sector ya media

leo nikiwa viunga vya azamtv tabata nilipishana na bibie sophia mgaza, uso wake ulikuwa umejaa unyonge sana mpaka nikamuonea huruma.

ifahamike tu kwa sasa azam media ipo chini ya uongozi wa kijana machachari patrick kahemele baada ya mzee tido mhando kujiandaa kustaafu mwishoni mwa mwaka huu.

kwa maana hiyo sidhani kama patrick ataacha hili lipite hivihivi bila kuwawajibisha wanaotuhumiwa. mda ni rafiki mzuri, tusubiri kuona kile kitakachojiri.
Dah ,sasa km wasi kahusika boss wake je yule mdada Tina inakuaje? PK anakazi
 
Back
Top Bottom