Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

Wasiwasi Mwabulambo wa Azam TV atajwa kupokea Rushwa ya Tsh. 800,000 ili aidhinishe kipindi cha TV

Nifah , Kwa hiyo account ya BARD AI ni yako pia
Sidhani…! Kwanza hii clip ilikuwa kwenye habari ya Nifah hapa nadhani Jf wanatakiwa kuwa wanaziwekea mihuri clip au habari zao hata mtu akiwa anatoa hapa iwe inajulikana imetoka hapa… mbona ni jambo rahisi!
Mtoa mada anaweza akafikiri amelata habari mpya lakini hii habari imeletwa na Nifah jana na imetrend sana nadhani wengi wemechukua humu halafu wamerudisha humu ! Sidhani kama Nifah ana sababu ya kuleta habari aliyoileta kwa id nyingine…hata uandishi wa huyo na wa nifah ni tofauti kabisa
 
Halafu wewe ndio uliniletea video ujue? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ile video niliiokota kule tiktok katika pitapita zangu.

ilikuwa ni kama coincidence, baada ya kunitaka nilete ushahidi kuhusu azamtv,ile naingia tiktok nikakuta na ile video.

aliyepost video ni muandaji na muigazi wa movie za kibongo Deogratius Shija.

kama huwa unatembelea tiktok, bonyeza hii link:
View: https://vm.tiktok.com/ZM6eQdVJp/
 
Kinachotuponza watanzania tunaiga kila kitu. Sanaa na michezo inaopumbaza jamii na kuifanya ishindwe kudai haki na kuona mwelekeo wa nchi kwa ujumla. Miaka 300 hadi 400 iliyopita wakati Marekani na Nchi za ulaya zinajitafuta hivi vitu havikuwepo. Baada ya Industrialisation, sanaa na michezo ikaanza. Hata ukifuatilia michezo ya soka, rugby na basketball ilianza kipindi hiki. Watanzania tuamke tunajaza wasanii na wanamuziki katika vyombo vya habari na mitandao. Tunabomoa nchi kwa hali ya Juu sana.
 
Kinachotuponza watanzania tunaiga kila kitu. Sanaa na michezo inaopumbaza jamii na kuifanya ishindwe kudai haki na kuona mwelekeo wa nchi kwa ujumla. Miaka 300 hadi 400 iliyopita wakati Marekani na Nchi za ulaya zinajitafuta hivi vitu havikuwepo. Baada ya Industrialisation, sanaa na michezo ikaanza. Hata ukifuatilia michezo ya soka, rugby na basketball ilianza kipindi hiki. Watanzania tuamke tunajaza wasanii na wanamuziki katika vyombo vya habari na mitandao. Tunabomoa nchi kwa hali ya Juu sana.
Una maanisha sanaa na michezo vinadididmiza nchi zinazoendelea?

Ila kama ukweli hivi, japo mimi nitaongezea na dini.
 
Wafanyakazi wa Azam Tv wana mishahara mizuri sana pamoja na perdiem za 100k per day wakiwa nje ya Dar hata kama ni hapo Kibaha, sasa sijui imekuwaje tena kwa huyu andunje kuleta tamaa
 
hili suala la RUSHWA...liingie kwenye mtaala wa ELIMU,,,,, KUANZIA VIDUDU mpaka walipo PHD.....bila hivyo....ni ngumu sana....tunaumizana kweli kweli....
 
ile video niliiokota kule tiktok katika pitapita zangu.

ilikuwa ni kama coincidence, baada ya kunitaka nilete ushahidi kuhusu azamtv,ile naingia tiktok nikakuta na ile video.

aliyepost video ni muandaji na muigazi wa movie za kibongo Deogratius Shija.

kama huwa unatembelea tiktok, bonyeza hii link:
View: https://vm.tiktok.com/ZM6eQdVJp/

Hujanielewa mkuu, nilimaanisha wewe ndio uliniletea hiyo video nikaiweka kwenye threads zangu, bila wewe huenda nisingeipata kabisa maana sipo tiktok.
 
Swali la kichokozi mkuu, rushwa sio Pesa tu hujasoma story nzima ilivyo au kuna rushwa ya Pesa na pia kuna rushwa ya ngono, haujui wezombi?
Nimekusoma sana, una tabia za hovyo hovyo sana, haka ka id chako umekafanya kakichaka cha uropokaji...mjinga sana wewe
 
Back
Top Bottom