Wasiwasi wangu: Ingelikuwa story za Abdul Nondo kutekwa za kweli, haya yangelikuwa wazi kwa wananchi

Wasiwasi wangu: Ingelikuwa story za Abdul Nondo kutekwa za kweli, haya yangelikuwa wazi kwa wananchi

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
 
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
Halafu pengine wewe umemaliza chuo kikuu kabisa, halafu kuna watu wanajiuliza kwanini taifa maskini. Akili zenyewe ndio kama hizi unadhani taifa litakuwa vipi?
 
Huyu alichukuliwa kwenda kupumzika tu ili kuua story za uchaguzi

Hata Kama hauna D mbili utaelewa ili

Abudu nondo,act,CCM ni mtu na dadayake!!

Millard Ayo naye anatumika vibaya Sana na CCM

Hii nchi ya kipumbavu Sana hamtakaa mpate maendeleo ya kweli!!
 
Huyu alichukuliwa kwenda kupumzika tu ili kuua story za uchaguzi

Hata Kama hauna D mbili utaelewa ili

Abudu nondo act CCM ni mtu na dadayake!!

Millard Ayo naye anatumika vibaya Sana na CCM

Hii nchi ya kipumbavu Sana hamtakaa mpate maendeleo ya kweli!!
Propaganda hizi zako.
 
20241202_105759.jpg

Mkumbuke Nondo aliwai jiteka
 
Huyu alichukuliwa kwenda kupumzika tu ili kuua story za uchaguzi

Hata Kama hauna D mbili utaelewa ili

Abudu nondo act CCM ni mtu na dadayake!!

Millard Ayo naye anatumika vibaya Sana na CCM

Hii nchi ya kipumbavu Sana hamtakaa mpate maendeleo ya kweli!!
Tomaso 😂
 
Abdul Nondo hii siyo mara yake ya kwanza alishawahi kujiteka kabla alivyohojiwa vizuri akasema alijificha kwa demu wake
 
Back
Top Bottom