Wasiwasi wangu: Ingelikuwa story za Abdul Nondo kutekwa za kweli, haya yangelikuwa wazi kwa wananchi

Wasiwasi wangu: Ingelikuwa story za Abdul Nondo kutekwa za kweli, haya yangelikuwa wazi kwa wananchi

Kwa Mganga wa Kienyeji hazipigwi picha

Damu ya Ngamia asiye na hatia inawalilia ACT Wazalendo 🐼
Zitto kachinja ngamia huko Kigoma, na chama kikakosa kiti hata kimoja cha uenyekiti wa kitongoji/Kijiji/mtaa. Imagine. Lazima awe na hasira🤣🤣🤣. Moja kwa moja kaamua kufanya mawasiliano na Minja huko Dar?!😔😔
 
Wanajaribu kuweka shombo sawa kuwa utekaji ni kwa wapinzani wote sio Chadema pekee wanatekwa.
 
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
Kwenye hili, umekosa maarifa. Hakuna jamii iloyostaarabika huwa inapiga picha za wagonjwa waliolazwa hospitali au miili ya marehemu iliyopo mortuary na kuisambaza mitandaoni.

Siamini kuwa ni tukio la kutengenezwa.
 
Umrkosa maarifa na uelewa. Hakuna jamii iloyostaarabika huwa inapiga picha za wagonjwa waliolazwa hospitali au miili ya marehemu iliyopo mortuary na kuisambaza mitandaoni.

Kama hata baada ya taarifa zote kutolewa na watu na mamlaka mbalimbali, na wewe huamini, kuna mawili: Ama kichwani kutakuwa kumepungukiwa, au wewe ni sehemu ya hao maharamia mnaohangaika kupindisha habari.
Yeye anaendelea kuamini kuwa Nondo alijiteka, anaungana na sa100 kuziita hz ni drama.

Halafu mtu huyo huyo anajiona ni Mpinzani, kumbe the enemy wihin!
 
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
Unazani uko salama sababu uko kalibu na watawala?
 
Upuuzi mtupu, kuna kakundi ka Maria kanaamini haki ya kutekwa ni ya watu fulani. Hii chi ina manaharakati ya hovyo sana.
Maria Ana influence gani hapa ?? Watu wanauliza maswali ya msingi
 
Mtoa post tumia akili, unataka kutuambia Kuwa A Nondo amejiteka ,akajitesa then akajitupa coco Beach,lengo lako ni kupunguza ukubwa wa hili suala kwa faida yako ya nani
Wapi umethibitisha ameteswa ebu tupe picha ya majeraha
 
Kuna mchezo unachezwa hapa!

Media zimetishiwa na pia bahasha za kadi ili habari za kina kutoandikwa


Kiongozi wa Ngome ya vijana wa upinzani Tanzania atupwa ufukweni baada ya kutekwa nyara​

2 Desemba 2024

Tzouthl.b

Image: ACT Wazalendo

Kiongozi wa ngome ya vijana wa upinzani Tanzania ACT Wazalendo, Abdul Nondo amepatikana baada ya kutupwa ufukweni, chini ya siku moja baada ya kuripotiwa kutekwa nyara katika jiji kuu la Dar es Salaam.

Chama chake, ACT Wazalendo, kinasema Nondo alipigwa na kujeruhiwa vibaya na amelazwa hospitalini.


Naibu Mwenyekiti wa chama hicho, Isihaka Mchinjita, alisema Nondo amezibwa macho na kushambuliwa mara kwa mara huku akitishiwa kuuawa.


Polisi wametoa taarifa kuthibitisha kisa hicho katika ufukwe wa Coco beach Oysterbay jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili usiku, wakisema wanachunguza kisa hicho.

Walisema alikuwa ametelekezwa ufukweni na watekaji wake na aliomba msaada kwa mwendesha teksi ya pikipiki bodaboda , ambaye alimpeleka katika ofisi za chama.


ā€œKutoka hapo viongozi wa chama walimkimbiza hospitalini kwa matibabu. Tunachunguza na tutachukua hatua za kisheria,ā€ msemaji wa polisi David Misime alisema Jumatatu asubuhi.


Baada ya kumtembelea hospitalini, Mchinjita alisema katika taarifa yake ya awali saa 7 usiku , kwamba Nondo alipigwa "muda mrefu" kabla ya kutupwa ufukweni ambako watekaji "walimvua kitambaa machoni na kumpiga. pinguā€.


"Nondo alisema waliomteka nyara walimtisha na kumuonya kwamba wakimkamata tena, hawatamuokoa maisha yake," aliongeza. Sababu ya kutekwa nyara kwake haijabainika.


Siku ya Jumapili, ACT Wazalendo kilisema Abdul Nondo alinyakuliwa dakika chache baada ya kuwasili kutoka eneo la Magharibi mwa nchi la Kigoma ambako alikuwa akiwapigia kampeni wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa mitaa uliofanyika wiki iliyopita uliogubikwa na utata kiasi kuitwa uchafuzi wa uchaguzi wa TAMISEMI 2024

.
Alikuwa amechukuliwa kutoka kituo cha basi jijini Dar es Salaam alfajiri ya Jumapili na watu wawili waliokuwa wakisafiri kwa gari jeupe la magurudumu manne.


Polisi sasa wanasema uchunguzi unaendelea ili kubaini washukiwa na kubaini nia yao.
Tukio hili linafuatia kutekwa nyara na kuuawa kwa kiongozi mwandamizi kutoka chama kikuu cha upinzani CHADEMA mwezi Septemba 2024.


Katika utekaji wa kiongozi mwandamizi, Ali Mohamed Kibao wa CHADEMA alitolewa kwenye basi na kupigwa kisha kumwagiwa tindikali. Rais Samia Suluhu Hassan alikemea tukio hilo na kutaka uchunguzi wa mauaji hayo ufanyike.
Chanzo: BBC
 
Retired & Co.
Media zimejitahidi kwa kiwango chao katika wakati huu mgumu wa vitisho. Kik8chobaki sasa ni nguvu ya umma kuingia mtaani kupinga madhila yote yanayotokea ndani ya nchi yetu.

View: https://m.youtube.com/watch?v=t2r5AtKLv7Y
Media pekee yake au vyama vya siasa kutoa matamko bila umma mpana wa waTanzania kuingia kwa wingi mtaani kwa maandamano makubwa yasiyokuwa na kikomo ndiyo yatakomesha udhalimu huu.


Na siyo stories za katika media au matamko ya viongozi wa vyama vya siasa, kazi kwenu waTanzania maamuzi mnayo ninyi umma mkubwa mpana ambao hata vyombo vya dola havitaweza kuwazuia mkiamua katika wingi wenu :


View: https://m.youtube.com/watch?v=ARIMdLAgVa8
 
Retired & co.
Nguvu ya umma nchini Msumbiji wao wamejitokeza, ninyi mnasubiri mapicha picha na stori...

SOMA :


1733134731537.jpeg
 
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
Hili bwabwa jamani
 
1. Picha za kuonesha hali yake baada ya kupatikana zingeliwa zina trend
2. Picha za hospital zingelikuwa zinatrend
3. Most likely, nasema most likely with emphasis, CLOSE relatives wa Abdul wangelikuwa wameshatoa neno
4. Tv za mitandaoni zingelikuwa zimemwaga habari kedekede angani! na mahojiano na walio wengi wa karibu na Nondo....

Kuna mchezo unachezwa hapa!

I stand to be corrected and apology for any inconvenience this message might cause to some of us!
Picha za Roma na vijana wenzie baada ya kutupwa ununio uliziona..?
Picha za mwili ulioharibika vibaya Kwa acid wa mzee kibau uliziona ?

Ukiendelea na tabia hizi utakuwa mchawi !
 
Back
Top Bottom