Uchaguzi 2020 Wasiwasi wangu ni kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi lazima itamkata Lissu kwa kile itachodai kufanya Mikutano ya hadhara

Uchaguzi 2020 Wasiwasi wangu ni kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi lazima itamkata Lissu kwa kile itachodai kufanya Mikutano ya hadhara

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.

Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.

Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!

Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
 
Msi PANICK kama atakuwa kaenda kinyume cha sheria husika atashughulikiwa tu. Haijaridhi wale Mawakili wake wanasema nini! Lissu ajitahidi kufuata sheria vinginevyo, NEC itakula naye sahani moja halafu hayo ya Amsterdam yatafuata baadaye.
 
Wewe hujui mikutano yoyote lazima iwe na vibali?

Ni Mutoro au Mamboleo atakubali ufanyike mkutano wapi bila ruksa yake?

Itakuwa kukosa busara kuliko pitiliza kuita watu wanaojitokeza kumwona mfu aliyefufuka na kusalimiana naye kuwa ni mkutano wa hadhara.

Waacheni wajumbe wafanye yao Oct 28. Mengine haya ni kujaribu kutuletea uchuro kutokana na kiwewe cha kuhofia kushindwa kitakatifu.

Ni mwanga peke yake anayeweza kusikia aliyekufa na kufufuka anapita karibu yake naye akaamua kuuchuna kwake asiende hata kumwona.

Kumbuka JKNIA kulifurika watu achilia mbali njia yote alikopita Lissu licha ya vitisho na utayari wa polisi kutumia nguvu. Sembuse katazo la kwenda kumwona kipenzi cha watu huyu kinapokuwa hakipo?
 
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.


Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.


Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!


Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Busara itumike ili wananchi ndo waamue lakini Lissu hajafikia viwango vya kumshinda Jpm
 
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.


Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.


Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!


Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Safari hii ikulu ni mapeema sana na nyinyi mataga lazima mrudi kwenu Burundi
 
Lisu pumzi itamkata soon!

Kaja na mihemko wenzie wanamuangalia tu
 
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.


Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.


Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!


Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Hata aspoenguliwa na time STD 7 huku tutamuengua TU maana siyo kwa vijidharau hivyo alivyonavyo!? Maana kwenye macho na akili za TL yy tu ndio anajua kila kitu wengine wote no STD 7! Tunamsubiri kwa hamu Kama tume itamuacha wapiga kura wenye hasira x1000 zaidi ya waliokuwa nayo wanakyela kwa Mwakembe tunamsubiri kwa hamu I see!?
So unajua ya wajumbe bana...Basi hao ni chamtoto🤣😂🤣!
 
Huyo mataga wa Lumumba anajitangaza kua anajipiga ukuni mwenyewe, sasa akili yake itakua timamu kweli! Si ndio wale wale akina nabii Tito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wengine siyo wa kuwajadili kabisa maana hawana sifa
 
Wewe hujui mikutano yoyote lazima iwe na vibali?

Ni Mutoro au Mamboleo atakubali ufanyike mkutano wapi bila ruksa yake?

Itakuwa kukosa busara kuliko pitiliza kuita watu wanaojitokeza kumwona mfu aliyefufuka na kusalimiana naye kuwa ni mkutano wa hadhara.

Waacheni wajumbe wafanye yao Oct 28. Mengine haya ni kujaribu kutuletea uchuro kutokana na kiwewe cha kuhofia kushindwa kitakatifu.

Ni mwanga peke yake anayeweza kusikia aliyekufa na kufufuka anapita karibu yake naye akaamua kuuchuna kwake asiende hata kumwona.

Kumbuka JKNIA kulifurika watu achilia njia yote alikopita Lissu licha ya vitisho na utayari wa polisi kutumia nguvu. Sembuse katazo la kwenda kumwona kipenzi cha watu huyu kinapokuwa hakipo?
Wachache watakuelewa mkuu
 
Jamaa mbali Nan mikutano ana mdomo mchafu balaa .hana spirit ya utanzania kila kitu ni personal attack so akikatwa hatutashangaa
 
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.


Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.


Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!


Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Tundu Lissu ni mwanasheria na anajua vizuri sheria za Uchaguzi hivyo usiwe na wasi wasi kuhusu Tume Lissu atawafundisha kampeni ina tofauti gani na kutafuta wadhamini.
Time will tell
 
Back
Top Bottom