Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe mwenyewe analijua kuwa safari hii anafungasha viragoBusara itumike ili wananchi ndo waamue lakini Lissu hajafikia viwango vya kumshinda Jpm
[emoji23][emoji23] mbali na kujipiga miti mwenyewe, pia anapigwa miti na pole poleHuyo mataga wa Lumumba anajitangaza kua anajipiga ukuni mwenyewe, sasa akili yake itakua timamu kweli! Si ndio wale wale akina nabii Tito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] mbali na kujipiga miti mwenyewe, pia anapigwa miti na pole pole
Mnatetemeka tu dadeeeki, mlidhani mmeua upinzani kwa kuwanunua watumwa wa mawazo kumbe mlikuwa mnadanganywa na musibaLisu pumzi itamkata soon!
Kaja na mihemko wenzie wanamuangalia tu
Labda mumuengue mgombea wenu kwani hakubaliki kwa watanzaniaHata aspoenguliwa na time STD 7 huku tutamuengua TU maana siyo kwa vijidharau hivyo alivyonavyo!? Maana kwenye macho na akili za TL yy tu ndio anajua kila kitu wengine wote no STD 7! Tunamsubiri kwa hamu Kama tume itamuacha wapiga kura wenye hasira x1000 zaidi ya waliokuwa nayo wanakyela kwa Mwakembe tunamsubiri kwa hamu I see!?
So unajua ya wajumbe bana...Basi hao ni chamtoto[emoji1787][emoji23][emoji1787]!
Kumbuka ni mwanasheria na anajua anachokifanya na alishaliezea hili kuwa ile si mikutano ya kisiasa. Wont go into much details about thisHii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.
Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.
Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!
Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Wachache watakuelewa mkuu
Karibu 28 OctoberJiwe mwenyewe analijua kuwa safari hii anafungasha virago
Huna haja ya kunikaribisha maana mimi nina sifa ya kushiriki huo uchaguzi either kwa kuchagua au kuchaguliwa maana ni mtanzania.Karibu 28 October
Kwahivyo akili zako kama za Adam?We jamaa unahangaika na Lissu balaa
Tumtetemkee Lisu?Mnatetemeka tu dadeeeki, mlidhani mmeua upinzani kwa kuwanunua watumwa wa mawazo kumbe mlikuwa mnadanganywa na musiba
Mwambie meku aruhusu vyombo vya habari kwa wapinzani asili uoneBusara itumike ili wananchi ndo waamue lakini Lissu hajafikia viwango vya kumshinda Jpm
Wacha kichaa wewe sema mh rais ajaye mh LissuTumtetemkee Lisu?
Unaota
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.
Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.
Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!
Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.
Dogo, Lisu hawi rais kwa kuipamba picha yake na kuiweka hapa!Wacha kichaa wewe sema mh rais ajaye mh Lissu View attachment 1540350
Huu uchaguzi mwaka huu haufanyiki....Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani.
Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini na kulihutubia kana kwamba kampeni zimeshaanza ni kosa ambalo ndilo bwana Tundu litamnyanganya Tonge mdomoni.
Tujiulize kwa nini wenzake wote Magufuli,Membe na wengineo hawakutanishi makumi ya watu?!
Ninawiwa na hata kuchelea kuamini kwamba Tundu kwa vyovyote vile NEC itamuengua.