Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Kuanzia Shetani, Mungu, Huyo mwanamke mpaka Ayubu wote hawajawahi kuwepo.....zote hizo ni hadithi za kutiana moyo tu huku tukisogeza siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya!Na ni afadhali uadhibiwe na shetani kuliko Mungu,
Maana ukishambuliwa sana na shetani, Mungu aweza ingilia kati akakuokoa,
Lakini Ukiadhibiwa na Mungu, ukikumbana na hasira yake, hayupo wa kukusaidia.