Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Kama hawataki kuchanganyika si wabaki kwao Huko Somalia, huku nchi zetu wanakuja kutafuta nini sasa, mabinti sio wabaguzi shida ni wazazi wao au ndugu, dawa yao unabananisha akiwa bado hajalishwa sumu ya ubaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app