This is very true. Wengi hua hawaowi na kuolewa. Sababu wapo selective sana kwenye ndoa. Msichana akisoma tu hata ka degree, akifikisha 25yrs au asipofuata utamaduni wa kimavazi huyo haolewi tena. Wazazi wapo radhi bint yao azeeke ndani kuliko kuolewa na jamii tofauti.wanaume nao unless awe vizuri financially otherwise hapati mke.
It is a backward judgemental community.