Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini hata hao waarabu wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine, ukiingia jamiiforums yao inayoitwa somalinet utakutana na nyuzi nyingi sana zikiwaponda waafrika wengine hasa wabantu, Ni kwamba wabantu ni ngumu kuishi kukiwa na wasomali wenye power aidha economically, popilation au kisiasa.

Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,







Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
 
Juhudi binafsi.. sema Wasomali siri zao wanazijua wenyewe utakuta hiyo Mall ni mali ya raisi huyo huyo anayekuja kuifungua... For Sure hata me nilienda Nairobi miaka furahi maduka ya Simu mengi na spare ni ya wasomali.. Hongereni sana japo sijala Mandi siku nyingi... kisa kibaya kuna Mama alinitobolea matairi ya gari langu miaka furani kisa lipo karibu na nyumba aliyopanga nilishikwa sana na hasira bora angetoa upepo tu ila katia kisu rubber zote japo sijawahi msamehe yule bibi ila kwa sasa nimesahahu namsamehe moyoni
 
Juhudi binafsi.. sema Wasomali siri zao wanazijua wenyewe utakuta hiyo Mall ni mali ya raisi huyo huyo anayekuja kuifungua... For Sure hata me nilienda Nairobi miaka furahi maduka ya Simu mengi na spare ni ya wasomali.. Hongereni sana japo sijala Mandi siku nyingi... kisa kibaya kuna Mama alinitobolea matairi ya gari langu miaka furani kisa lipo karibu na nyumba aliyopanga nilishikwa sana na hasira bora angetoa upepo tu ila katia kisu rubber zote japo sijawahi msamehe yule bibi ila kwa sasa nimesahahu namsamehe moyoni
Wasomali wanatumika kwa vile hawana mfungamano na makabila mkubwa yenye migogoro...Wasomali ni rahisi kupata wateja ila wale wakikuyu na wajaluo wnaangaliana kweny ukabila mpaka kweny biashara.

Wasomali wanatumika unakuta mall ya mtu fulani , anatumia wasomali apate wateja wote kama ilivyo kwa waarabu hapa bongo wanavyofanya kuendesha biashara za wanasiasa .
 
Wasomali wanatumika kwa vile hawana mfungamano na makabila mkubwa yenye migogoro...Wasomali ni rahisi kupata wateja ila wale wakikuyu na wajaluo wnaangaliana kweny ukabila mpaka kweny biashara.

Wasomali wanatumika unakuta mall ya mtu fulani , anatumia wasomali apate wateja wote kama ilivyo kwa waarabu hapa bongo wanavyofanya kuendesha biashara za wanasiasa .

Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
 
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
ukabila upo lakini wana tatizo kubwa zaidi linaitwa clanissm (ukoo lism), Yani mnaweza kuwa kabila moja lakini kuna vita, ubaguzi, kunyanyasana kwa ngazi za ukoo.

1717373361550.png
 
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
PESA ZA KUTEKA MELI NA UFADHILI WA MAGAIDI ZINAWATOA SANA.
Kipindi cha kuteka meli pesa nyingi zilikuwa zinapokelewa south afrika sehemu jozi huko my fair na kwenda nairobi.
 
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
Hiyo mall imekaa kihatari hatari.Sijui imekuwaje raisi mzima ameingia hapo.
 
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
Kwani wewe hutaki kwenda kufanya ngono peponi na mabikira 72? Hakuna kulala ni kupigana miti tu,pembeni kuna Osama bin laden, Mullah Omary,Alzawahil,muddy, Marehemu rais wa Iran etc etc
 
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
Ukienda maeneo ya South C,Kitegela na mji wa mombasa majengo makubwa na hoteli zote ni za wasomali,wakenya wanachomiliki ni kingereza tu
 
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.

Kuna waafrika wabaguzi sana, na wadini sana. Hapo msomali unataka afanyiwe figisu mpaka waishiwe ndio mfurahi sio? Msomali atabakia msomali na hawezi kuwa mwafrika, na mwafrika hawezi kuwa msomali, ndivyo ilivyo kwa waarabu, wahindi na wazungu. Sasa wao hujiona sio waafrika, unataka wawe waafrika kwa lazima!!

Hizi nchi zilizo na manaswara ni tabu tupu, ukiwa muislamu utafanyiwa zengwe kukwamishiwa mambo yako, ukiwa mtu wa race flani utafanyiwa figisu sana sana ili wasione unafanikiwa. Roho mbaya na hasadi zinawatesa.
 
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
Uafrika siyo rangi ya ngozi
 
Wasomali wanatumika kwa vile hawana mfungamano na makabila mkubwa yenye migogoro...Wasomali ni rahisi kupata wateja ila wale wakikuyu na wajaluo wnaangaliana kweny ukabila mpaka kweny biashara.

Wasomali wanatumika unakuta mall ya mtu fulani , anatumia wasomali apate wateja wote kama ilivyo kwa waarabu hapa bongo wanavyofanya kuendesha biashara za wanasiasa .
Umesahau kusema pia kwamba Wasomali wana ndugu zao wengi huko nje Ulaya, Marekani na Uarabuni ambao wanawapa michongo ya biashara, mbinu mbalimbali za kukwepa kodi, kusafirisha na kuficha pesa za kila aina.
 
Back
Top Bottom