Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali ni wazuri sana kwa kupiga deal za pesa, wengi hawaamini kwenye kuajiriwa, bora aendeshe Uber or truck ajipangie ratiba yake ya kazi au aanzishe store ndogo tuu auze wali na nyama ya mbuzi, Maisha yao focus kubwa ni kutafuta pesa na kuzaa tuu, ni kweli Wana ukabila between themselves na wanajiona superior kuliko waafrica wengine, lakini in general hawana shida na waafrica, kwa US wengi ni madereva wa malori na biashara ndogo ndogo, tatizo culture yao inawamaliza US na kuwafanya Kuwa watu wa hovyo, ile culture ya kuzaa na wake wanne inawafanya vijana wengi wa kisomali kuishi in single mother house so vijana wengi wanaoishi in gangs na mwisho mbaya, mfano Minneapolis na San Diego gang kubwa, murder na crime nyingi zinafanywa na wasomali nasikia wamezidi hata weusi sasa, future yao ni mbaya Kwa US vijana wao wengi wanaishia jela tuu na wanawake wao wengi Wana matatizo na drugs and alcoholism
Ofcourse hawa jamaa kuajiriwa ni mwiko, nilisoma advance na msomali mmoja alikiwa na kipaji maalum , ni A saa zote tena hatumii nguvu kusoma alikuwa pcm sasa hivi yupo kwenye petrol stations za baba yake na anamiliki malori hakuendelea chuo
 
Hapa umebugi, ukabila upo Kenya ila sio kwa kiwango hiki ulichoaminishwa.
Wapo wasomali wengi raia wa Kenya, wana mkoa wao kabisa, Wasomali ni watu wenye hulka ya kujituma, sema dini ya uislamu ndio iliwachelewesha sana na kusababisha waharibu nchi yao, kila wakijaribu kunyanyuka wanapigana kila mmoja akisema Akbar Akbar.
Kenya wanafanikiwa kwa sababu siyo Wakenya wote ni Wasomali. Wakiwa pekeyao hawawezi kufanikiwa.

Ndiyo maana kote duniani Wasomali wanafanikiwa wakiwa kwenye nchi zenye makafiri wengi
 
Katika hao mabikra 72 je na bikra wenu Maria yumo? Kama yumo niwekee oder nije nimtoe rinder
Ungeachana nae tu huyo kafiri. Bibi Maryam alikuwa mwanamke mwema msafi. Hakuwa mzinifu kama wanavyomtukana mayahudi

Verse 156 from surah An-Nisa
﴿وَبِكُفْرِهِمْ وَقَوْلِهِمْ عَلَىٰ مَرْيَمَ بُهْتَانًا عَظِيمًا﴾
[ النساء: 156]

English - Sahih International
4:156 And [We cursed them] for their disbelief and their saying against Mary a great slander,

156. Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa.


Verse 12 from surah At-Tahreem
﴿وَمَرْيَمَ ابْنَتَ عِمْرَانَ الَّتِي أَحْصَنَتْ فَرْجَهَا فَنَفَخْنَا فِيهِ مِن رُّوحِنَا وَصَدَّقَتْ بِكَلِمَاتِ رَبِّهَا وَكُتُبِهِ وَكَانَتْ مِنَ الْقَانِتِينَ﴾
[ التحريم: 12]

English - Sahih International
66:12 And [the example of] Mary, the daughter of 'Imran, who guarded her chastity, so We blew into [her garment] through Our angel, and she believed in the words of her Lord and His scriptures and was of the devoutly obedient.

12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na tukampulizia humo kutoka roho yetu, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.





Wala sio mungu wala mama wa mungu kama wanavyosema wakristo (Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo)

Mayahudi na wakristo wote wamechupa mipaka juu yake. Kwa mayahudi kumtukana na wakristo kumuabudu mwanae (Amani iwe juu yake) na kumfanya mama wa mungu (Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo) na wengine wakamuabudu na yeye Bibi Maryam hasa, Ametakasika Allah.

يَٰٓأَهْلَ ٱلْكِتَٰبِ لَا تَغْلُوا۟ فِى دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا۟ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلْحَقَّ إِنَّمَا ٱلْمَسِيحُ عِيسَى ٱبْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ ٱللَّهِ وَكَلِمَتُهُۥٓ أَلْقَىٰهَآ إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِّنْهُ فَـَٔامِنُوا۟ بِٱللَّهِ وَرُسُلِهِۦ وَلَا تَقُولُوا۟ ثَلَٰثَةٌ ٱنتَهُوا۟ خَيْرًا لَّكُمْ إِنَّمَا ٱللَّهُ إِلَٰهٌ وَٰحِدٌ سُبْحَٰنَهُۥٓ أَن يَكُونَ لَهُۥ وَلَدٌ لَّهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِى ٱلْأَرْضِ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلًا

O People of the Scripture (Jews and Christians), do not exaggerate in (the affairs of) your religion (by exceeding the limits with respect to Jesus, Son of Mary) and do not say of Allāh (anything) but the truth. Verily, the Messiah, Jesus, Son of Mary is (no more than) the Messenger of Allāh and (a servant of His, created through) His Word (of command, “Be”) which He delivered to Mary (through Jibrīl), and a (created) spirit from Himself (blown into Mary by Jibrīl, without impregnation by a man). So believe in Allāh and (all) His Messengers and do not say: “Three.” (That you) desist (from this speech) is better for you. Verily, Allāh is but one Deity, Sublime is He from having a son. To Him belongs what is in Heavens and what is in the Earth, and sufficient is Allāh as Disposer (of all affairs).

171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha


مَّا ٱلْمَسِيحُ ٱبْنُ مَرْيَمَ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ ٱلرُّسُلُ وَأُمُّهُۥ صِدِّيقَةٌ كَانَا يَأْكُلَانِ ٱلطَّعَامَ ٱنظُرْ كَيْفَ نُبَيِّنُ لَهُمُ ٱلْءَايَٰتِ ثُمَّ ٱنظُرْ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

The Messiah ['Iesa (Jesus)], son of Maryam (Mary), was no more than a Messenger; many were the Messengers that passed away before him. His mother [Maryam (Mary)] was a Siddiqah [i.e. she believed in the words of Allah and His Books (see Verse 66:12)]. They both used to eat food (as any other human being, while Allah does not eat). Look how We make the Signs clear to them, yet look how they are deluded away (from the truth).

75. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa.
 
Ungeachana nae tu huyo kafiri. Bibi Maryam alikuwa mwanamke mwema msafi. Hakuwa mzinifu kama wanavyomtukana mayahudi

Verse 156 from surah An-Nisa
﴿وَبِكُفْرِهِمْ وَقَوْلِهِمْ عَلَىٰ مَرْيَمَ بُهْتَانًا عَظِيمًا﴾
[ النساء: 156]

English - Sahih International
4:156 And [We cursed them] for their disbelief and their saying against Mary a great slander,

156. Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa.


Verse 12 from surah At-Tahreem
﴿وَمَرْيَمَ ابْنَتَ عِمْرَانَ الَّتِي أَحْصَنَتْ فَرْجَهَا فَنَفَخْنَا فِيهِ مِن رُّوحِنَا وَصَدَّقَتْ بِكَلِمَاتِ رَبِّهَا وَكُتُبِهِ وَكَانَتْ مِنَ الْقَانِتِينَ﴾
[ التحريم: 12]

English - Sahih International
66:12 And [the example of] Mary, the daughter of 'Imran, who guarded her chastity, so We blew into [her garment] through Our angel, and she believed in the words of her Lord and His scriptures and was of the devoutly obedient.

12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na tukampulizia humo kutoka roho yetu, na akayasadiki maneno ya Mola wake Mlezi na Vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa wat'iifu.





Wala sio mungu wala mama wa mungu kama wanavyosema wakristo (Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo)

Mayahudi na wakristo wote wamechupa mipaka juu yake. Kwa mayahudi kumtukana na wakristo kumuabudu mwanae (Amani iwe juu yake) na kumfanya mama wa mungu (Ametakasika Allah na wanayomshirikisha nayo) na wengine wakamuabudu na yeye Bibi Maryam hasa, Ametakasika Allah.

يَٰٓأَهْلَ ٱلْكِتَٰبِ لَا تَغْلُوا۟ فِى دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا۟ عَلَى ٱللَّهِ إِلَّا ٱلْحَقَّ إِنَّمَا ٱلْمَسِيحُ عِيسَى ٱبْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ ٱللَّهِ وَكَلِمَتُهُۥٓ أَلْقَىٰهَآ إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِّنْهُ فَـَٔامِنُوا۟ بِٱللَّهِ وَرُسُلِهِۦ وَلَا تَقُولُوا۟ ثَلَٰثَةٌ ٱنتَهُوا۟ خَيْرًا لَّكُمْ إِنَّمَا ٱللَّهُ إِلَٰهٌ وَٰحِدٌ سُبْحَٰنَهُۥٓ أَن يَكُونَ لَهُۥ وَلَدٌ لَّهُۥ مَا فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِى ٱلْأَرْضِ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ وَكِيلًا

O People of the Scripture (Jews and Christians), do not exaggerate in (the affairs of) your religion (by exceeding the limits with respect to Jesus, Son of Mary) and do not say of Allāh (anything) but the truth. Verily, the Messiah, Jesus, Son of Mary is (no more than) the Messenger of Allāh and (a servant of His, created through) His Word (of command, “Be”) which He delivered to Mary (through Jibrīl), and a (created) spirit from Himself (blown into Mary by Jibrīl, without impregnation by a man). So believe in Allāh and (all) His Messengers and do not say: “Three.” (That you) desist (from this speech) is better for you. Verily, Allāh is but one Deity, Sublime is He from having a son. To Him belongs what is in Heavens and what is in the Earth, and sufficient is Allāh as Disposer (of all affairs).

171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha


مَّا ٱلْمَسِيحُ ٱبْنُ مَرْيَمَ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ ٱلرُّسُلُ وَأُمُّهُۥ صِدِّيقَةٌ كَانَا يَأْكُلَانِ ٱلطَّعَامَ ٱنظُرْ كَيْفَ نُبَيِّنُ لَهُمُ ٱلْءَايَٰتِ ثُمَّ ٱنظُرْ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

The Messiah ['Iesa (Jesus)], son of Maryam (Mary), was no more than a Messenger; many were the Messengers that passed away before him. His mother [Maryam (Mary)] was a Siddiqah [i.e. she believed in the words of Allah and His Books (see Verse 66:12)]. They both used to eat food (as any other human being, while Allah does not eat). Look how We make the Signs clear to them, yet look how they are deluded away (from the truth).

75. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo wabainishia Aya, kisha angalia vipi wanavyo geuzwa.
Kwa hakika Makafiri wamepotea laiti wangelitambua! Ahsante kaka kwa kunirekebisha
 
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine, ukiingia jamiiforums yao inayoitwa somalinet utakutana na nyuzi nyingi sana zikiwaponda waafrika wengine hasa wabantu, Ni kwamba wabantu ni ngumu kuishi kukiwa na wasomali wenye power aidha economically, popilation au kisiasa.

Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa mgeni rasmi wa kufungua mall kubwa zaidi Afrika mashariki na ya kati,



View attachment 3006826



Kwenye Power nako wameanza kuingia, awamu hii ya Ruto kuna Mawaziri wanne, Sekta ya ulinzi na jeshini wasomali wamepenya vyeo vikubwa.
Wakalenjin na wakikuyu hawataruhusu hiyo dominance itokee.
Mark my word kaka.
Hao wasomali hawakutakiwa hata kujiunga EAC sema basi tu hawa viongozi wa sasa sijui wameona nini na kuiruhusu.
 
Hebu kasome waraka wa Papa Francis anataka nini sahv uwe...mwenyezimungu kawata waislam tuache udhinifu kwa kuwa zinaa ni uchafu na inaleta ufukara..malipo yake hapa hapa duniani..ila malipo ya akhera ni makubwa zaidi ya hao mabikra 72..Si sawa na sasa Papa Francis anakuimiza ubadili jinsia papo papo ufirike..hapo hapo anahimiza Bible ibadilishwe imepitwa na wkt..ili kizazi kijacho kione karne ya 20 kufirana ilikua halali mradi tu umekula sakramenti
Note that hapo bado hujui Yesu ni Mungu au mtoto wa Mungu au Nabii wa mwenyezimungu hujielewi ushike lipi..na huwezi kuta muislamu akimponda Yesu wala kumkadiria kumchora au kumchongea sanamu..
Imagine bado unaamini picha ya Yesu ndo yeye ilhali unashangazwa na mabkra 72 ambao Allah anawabashiria waislam mema tuachane na dunia ya zinaa na ni sehemu ya kupita
Inshort unashangaza sanaa weeh mgalatia na Papa Francis keshasema mtaelewa tuu kidogo kama si wewe kufirika basi kizazi chako wkt huo mie na wewe hatupo na hatujui tutaishi kaburini karne ngapi
 
Kuna Msomali Mkenya na Msomali Msomalia, kama vile kulivyo na Mjaluo Mtanzania na Mjaluo Mkenya, Mmasai Mtanzania na Mmasai Mkenya.

Sawa kabisa kama mkikuyu mkenya, mkisii mkenya, mhindi mkenya, mzungu mkenya, mwarabu mkenya n.k kama ilivyo Tanzania utawakuta msomali mtanzania kwao Hai Kilimanjaro, Mo Dewji mnyiramba wa Singida, Rhemtullah mgoni wa Songea, Tsakiris mgiriki mtanzania n.k

Hata mweupe ( mzungu) wa South Afrika ni mwafrika n.k
 
Kwahiyo wasomali wana akili wakiwa nje ila wakiwa kwao hawana akili na Somalia yenyewe ni shi*hol*? Make it make sense.
 
Wasomali wanatumika kwa vile hawana mfungamano na makabila mkubwa yenye migogoro...Wasomali ni rahisi kupata wateja ila wale wakikuyu na wajaluo wnaangaliana kweny ukabila mpaka kweny biashara.

Wasomali wanatumika unakuta mall ya mtu fulani , anatumia wasomali apate wateja wote kama ilivyo kwa waarabu hapa bongo wanavyofanya kuendesha biashara za wanasiasa .
🤔🤔🤔🤔🤔

Point tupu
 
Back
Top Bottom